• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA APONGEZA WILAYA YA SONGEA KWA KUMALIZA KUGAWA VITAMBULISHO 15,000 VYA WAJASILIAMALI WADOGO.

Tarehe ya kuwekwa: May 21st, 2020

Kauli hiyo imetolewa  kwenye  kikao cha Wakuu wa Wilaya, Maafisa Biashara, na Maafisa Tehama katika zoezi la Ugawaji wa Vitambulisho 9000 Vya awamu ya kwanza  vya Wajasiliamali wadogo na Watoa Huduma kilichofanyika  Ofisini kwake leo 21/05/020.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme  amesema Lengo  Kuu ni la kugawa vitambulisho ni pamoja na Kuwajengea Wajasiliamali Wadogo Mazingira safi ya Biashara ndani ya Mkoa wa Ruvuma.

 Mndeme alisema, Hapo awali Mkoa Ruvuma ulipokea Vitambulisho 60,000 kwa awamu mbili tofauti ambapo mara ya kwanza Mkoa  Vilipokelewa VItambulisho 25,000 na kila Wilaya ilipokea Vitambulisho 5000.  Pia awamu ya pili Mkoa wa Ruvuma ulipokea Vitambulisho 35,000 na  kila Wilaya  ilipokea vitambulisho  kama ifuatavyo; Wilaya ya Songea 10,000, Wilaya ya Mbinga  10,000, Wilaya ya Namtumbo 5000, Wilaya Nyasa 5000, Wilaya Tunduru  5000. 

Alisema hadi kufikia 19/05/2020 Mkoa ulifanikiwa kugawa Vitambulisho   55607 na kufanikiwa kukusanya   Tsh 1,112,135,000/= kwa wajasiliamali wadogo na Watoa Huduma.  Alisema Vitambulisho vilivyobaki  4393 ambavyo havikugawiwa  kwa wajasilimali wadogo kutoka kwa bbdhi ya wilaya  kwa mchanganuo ufuatao;

Wilaya ya Mbinga 1063, Wilaya ya Nyasa 721, Wilaya ya Tunduru 327, Wilaya ya Namtumbo 2282 na Wilaya ya Songea  - walimaliza. Hata hivyo hakusita kupongeza  Wilaya ya Songea kwa kumaliza kugawa Vitambulisho vyote 15,000 vilivyopokelewa Wilani humo.

Aliongeza kuwa  Mwaka 2020 Mkoa wa Ruvuma umepangiwa jumla ya Vitambulisho 58,000, ambapo katika awamu ya kwanza vimepokelewa vitambulisho 9000, na awamu ya pili  mkoa utaletewa Vitambulisho 49,000, kwa kuzingatia idadi ya Wajasiliamali Wadogo na  watoa Huduma waliopo kwa kila  Halmashauri.

Mndeme alifafanua kuwa  Vitambulisho vya awamu ya kwanza vimetolewa leo hii kwa mgao ufuatao;  Wilaya ya Songea 3500,  Wilaya ya  Mbinga 2000,  Wilaya ya Nyasa 1000, Wilaya ya Tunduru 1500,  na Wilaya ya Namtumbo 1000.

Alisema utaratibu wa ugawaji wa vitambulisho mwaka 2020 ni kutumia mfumo wa kompyuta ambao utawezesha kutunza kumbukumbu za wajasiliamali wadogo na watoa huduma waliopo ndani ya Mkoa. Aliwaasa Maafisa Biashara wote kuhakikisha Fomu ya maombi ya Vitambulisho inajazwa vizuri na fedha zinazokusanywa ziwekwe Benki kwa kutumia ( CONTROL) NAMBA  99504000014  Kwa kila Risiti moja ya malipo ya elfu Ishirini.

Mwisho alisema” kila mmoja asimame katika nafasi yake katika kutimiza wajibu wake na yeyote atakaye kwamisha zoezi hili atachukuliwa hatua za kisheria.  pia ameahidi kufuatilia kwa kila siku kuona kiasi gani kimeingia, chenye namba gani, kwa kitambulisho gani, na Wilaya gani.” Alisisitiza.

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa