• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI "BOOST"

Tarehe ya kuwekwa: June 29th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas ametoa pongezi kwa Wataalamu wa Manispaa ya Songea kwa usimazi na ufuatiliaji mzuri wa Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa kupitia Mradi wa Boost ambayo ipo katika hatua ya Ukamilishaji.

Manispaa ya Songea imepokea fedha kutoka Serikali kuu kupitia  mradi wa kuboresha upatikanaji wa fursa sawa  katika ujifunzaji bora wa elimu ya awali na Msingi Tanzania Bara (BOOST)  kiasi cha Shilingi mill. 893 kwa ajili ya ujenzi wa shule 7 za Msingi ambazo ni Kipera, Amani, Matogoro, Bombambili, Mkuzo na Ruhuwiko ambayo ilianza  ujenzi tarehe 15 Mei 2023).

Kanal Laban alisema” Ameridhishwa na hatua ya  utekelezaji wa mradi wa madarasa , Vyoo na majengo ya utawala ambapo amewataka wataalamu kuendelea kuwasimamia mafundi ili wawewze kukamilisha ujenzi kwa wakati ili majengo hayo yaweze kutumika na wanafunzi mara baada ya kufunguliwa shule.”

“Amewataka walimu kuhakikisha wanaboresha mazingira ya shule kwa kupanda miti ya vivuri, pamoja na maua ili kuweka mazingira safi na kuachana na kutumia fagio mara kwa mara kwa ajili ya kufagia  mazingira badala yake waweke bustani ya maua.”  Alisisitiza.”

Hayo yamejiri wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas kwa lengo la kukagua miradi  iliyofanyika tarehe 28 Juni 2023 katika Manispaa ya Songea ambapo alikagua Shule ya Msingi Kipera ambayo ilipokea Fedha Mil. 513 kwa ajili ya Ujenzi wa Madarasa 16, matundu ya vyoo 24,na jengo la utawala pamoja na shule ya Msingi Ruhuwiko ambayo ilipokea fedha Mil 77 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 3 na matundu ya vyoo 3.

Ametoa Rai kwa viongozi wa Serikali za Mitaa kuwashirikisha wananchi wakati wa utekelezaji wa miradi ili kujenga ushirikiano  katika kulinda mazingira pamoja na miundombinu ya shule.

Alitoa Pongezi kwa Serikali ya awamu ya Sita  inaongozwa na Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha Mil 893 kupitia Mradi wa BOOST ili kuboresha miundombinu ya Elimu ya awali na Msingi.

Kwa upande wake wananchi wakitoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, ambapo walisema mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa madarasa hayo yataondoa changamoto ya mlundikano wa Wanafunzi  darasani ” Walishukuru”

IMEANDALIWA NA                                                                                             

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa