• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SARUJI ya Dangote kupungua bei

Tarehe ya kuwekwa: July 10th, 2018

WANANCHI wa Manispaa ya Songea na Mkoa wa Ruvuma wanatarajiwa kunufaika na saruji inayazalishwa na kiwanda cha Dangote kilichopo mkoani Mtwara mara baada ya bei kupungua.

Bei ya saruji inayozalishwa na kiwanda hicho inatarajiwa kupungua hivi karibuni mara baada ya kuanza uzalishaji wa saruji kwa kutumia nishati ya gesi asilia ambayo inazalishwa mkoani Mtwara.

Taarifa  ya ujenzi wa mradi wa kufua umeme unaotokana na gesi asilia kwa ajili ya Kiwanda hicho,iliyotolewa na Fundi Sanifu wa mradi huo Walter Nyaki,imesema mradi huo ambao uko katika hatua ya mwisho ya usimikaji wa mitambo utawezesha uzalishaji kuongezeka na hivyo bei ya saruji kupungua.

‘Mradi huu ukikamilika utawezesha kiwanda cha Dangote kuongeza uzalishaji kwa asilimia 400 na kupunguza gharama za uzalishaji kwa asilimia 90 ambapo itapelekea kuongezeka kwa vijana wanaoajiliwa katika Kiwanda’’,anasema Nyaki. 

Amesema kwa kuwa gharama za uendeshaji zitapungua itasaidia kupungua kwa bei ya saruji hali itakayosababisha wananchi kumudu kununua saruji hiyo na kuwa na makazi bora. Serikali wiyalani Mtwara imeushukuru uongozi wa kiwanda cha Dangote kwa kuamua kuwekeza Tanzania na kuwataka wananchi kuchangamukia fursa zinazotokana na uwepo wa kiwanda hicho.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda amesema matarajio ya wananchi wa wilaya hiyo ni makubwa kwa sababu kiwanda hicho kinasaidia kuongeza mapato ya mtu mmoja mmoja na Halmashauri na mkoa wa Mtwara.

CHANZO ni Tovuti ya Mkoa wa Mtwara

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa