• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI Songea yatoa ufafanuzi wa madai ya kufungwa zahanati tatu kwa kukosa watumishi

Tarehe ya kuwekwa: May 21st, 2018

MKUU wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololet Mgema amestushwa na taarifa zilizosambazwa jana Mei 20,2018 na Kituo cha Habari cha ITV,zinazohusu kufungwa kwa zahanati tatu katika wilaya hiyo kwa kukosa watumishi.

Akizungumza na wanahabari ofisini kwake mjini Songea,Mgema amesema Kituo hicho kimemnukuu Mfadhili kutoka nchini Ujerumani ambaye ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Misheni ya Peramiho Dk.Ansgar Stuffe kuwa katika vijiji vya Litisha,Mdunduwalo na Lugagala kuna zahanati zimefungwa kwa kukosa watumishi na zahanati moja kati ya hizo imegeuzwa duka.

Amesema taarifa hiyo ambayo pia imesambazwa na kurasa za mitandao ya kijamii ya ITV, imekosa ufafanuzi kuwa mfadhili huyo anazungumzia zahanati zipi ambazo zimefungwa kama zinazomilikiwa na misheni au serikali hali ambayo imesababisha upotoshaji kwenye mitandao ya kijamii ambayo imeandika kuwa zahanati hizo ni za serikali jambo ambalo sio sahihi.

“Zahanati zetu zote katika vijiji hivyo ambavyo vimetajwa bado ujenzi wake haujakamilika na hazijaanza kutoa huduma,kwa hiyo haiwezekani zahanati au kituo ambacho hakijakamilika kujengwa,kiweze kufungwa kwa sababu ya kukosa watumishi’’,anasisitiza Mgema.

Ameongeza kuwa kituo ambacho kinaweza kufungwa kwa kukosa watumishi ni kile ambacho ujenzi wake ulishakamilika,kimepata usajiri na kimeanza kufanyakazi.

Kutokana na hali hiyo serikali wilayani Songea inakitaka Kituo cha ITV kukanusha taarifa hiyo kwa uzito ule ule kama kilivyotoa taarifa hiyo haraka iwezekanavyo.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Mei 21,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa