• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI yaipiga jeki Songea Boys milioni 952

Tarehe ya kuwekwa: July 17th, 2019

SERIKALI imetoa  zaidi ya Millioni 952,katika shule ya Sekondari  ya wavulana Songea iliyopo katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma kwa ajili ya ukarabati mkubwa wa Majengo na miundombinu yake. 

Akitoa taarifa kwa wajumbe wa kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotembelea shule hiyo jana, Mkuu wa shule hiyo John Sweke,amesema ukarabati wa shule hiyo unatarajia kukamilika ndani ya siku 30.

Ameyataja Majengo yanayokarabatiwa kuwa ni Nyumba tatu za Waalimu,Mabweni 19,Maabara tatu,Kumbi tatu za mihadhira,Jengo la utawala,Zahanati,Stoo,Madarasa 24,Karakana,na Nyumba nne za vyoo na mabafu. 

 Amesema miundombinu ya shule hiyo imekusudiwa kukidhi wanafunzi 120 na kwamba Mwaka 1956 ilianzisha tahasusi ya HGL ambapo hadi sasa shule hiyo ina tahasusi za masomo ya PCM,PCB,PGM,CBG,EGM na HGE.

“Shule hii mwaka huu imeteuliwa kuwa moja ya shule zenye kutoa elimu jumuishi hapa nchini, kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza wa kawaida na wenye mahitaji maalimu ili kusoma kwa pamoja’’,alisema Sweke.

Kwa mujibu wa Mkuu huyo wa shule,Ufaulu kwa kidato cha pili kwa miaka mitano mfululizo ulikuwa ni asilimia 97, kidato cha nne  ni asilimia 97.5 na ufaulu kidacho cha sita ni asilimia 98.5.

Shule ya sekondari ya wavulana Songea ilianzishwa mwaka 1950 ambapo hivi sasa, ina jumla ya  Wanafunzi 798,walimu 52,wapishi wawili,Mlinzi mmoja,Mhasibu mmoja,Boharia mmoja,wafunzi wenye ulemavu tofauti 40 na walimu wenye utaalamu wa elimu maalumu  ni 11.

Imeandaliwa na Farida Mussa

Kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Julai 17,2019

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa