• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa milioni 100 kujenga madarasa Songea Boys

Tarehe ya kuwekwa: June 23rd, 2018

SHULE ya sekondari ya wavulana Songea (Songea boys) iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,imepokea jumla ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa matano yakiwa ni maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha tano.

Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Elimu Sekondari katika Manispaa hiyo, Devota Luwungo,Bodi ya shule ya sekondari hiyo Juni 21 imepewa mafunzo elekezi na kusisitiza kuwa ujenzi wa madarasa hayo unaanza mara moja.

Amesisitiza kuwa hadi kufikia Agosti 15 mwaka huu,wanatarajia ujenzi wa madarasa hayo utakuwa umekamilika na kwamba hivi sasa maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali zilizopo katika Manispaa ya Songea.

Anazitaja shule za sekondari za serikali za kidato cha tano ambazo zinapokea wanafunzi kuwa ni Songea Girls,Songea Boys,Londoni,Msamala na Emanuel Nchimbi.

Serikali kupitia TAMISEMI imetenga shilingi bilioni 29 katika Halmashauri zote nchini ili kujenga miundombinu ya shule yakiwemo madarasa 478 na mabweni 269 ili kuhakikisha wanafunzi wote waliokosa nafasi ya kupangiwa kidato cha tano,wanapata katika awamu ya pili.

Halmashauri ya Manispaa ya Songea ina shule za sekondari za serikali 40 kati ya hizo sekondari za serikali ni  24 na sekondari zisizo za serikali  16.

Kwa upande wake Afisa Taaluma sekondari wa Manispaa hiyo Mkinga Mkinga amesema manispaa hiyo inaendelea kufanya maandalizi ya mitihani ya MOCK mkoa ambayo inatarajia kufanyika kuanzia Julai 9 hadi 21 mwaka huu.

“Lengo la maandalizi ya mitihani hii ni kuhakikisha tunaweka ushindani kwa maandalizi mazuri ya wanafunzi kitaaluma  ili kufikia malengo ya mkoa ya kuinua ufaulu toka asilimia 85 na zaidi ya asilimia 90’’,anasisitiza Mkinga.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 23,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa