• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SHILINGI BIL. 1 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU YA SHULE NA AFYA MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: May 21st, 2021

Halmashauri ya Manispaa ya Songea imepokea fedha shilingi bilioni  moja kutoka kwa Mheshimiwa Mbunge jimbo la Songea Mjini kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu na afya katika Manispaa ya Songea.

Hayo yamebainishwa na Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano wakati akiongoza kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea leo tarehe 21 Mei 2021, na Kuhudhuriwa na Mheshimiwa Mbunge  wa jimbo la  Songea Mjini Dr. Damas Ndumbaro Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na viongozi na wananchi  mbalimbali  Manispaa ya Songea.

Mbano akitoa shukurani hizo kwa Mbunge wa jimbo la Songea Mjini ambapo alisema “Fedha hizo zitasaidia  kupunguza baadhi ya  changamoto  zinazowakabili  wananchi  hususani  miundombinu ya shule pamoja na  vituo vya afya.

Amewataka Waheshimiwa Madiwani kusimamia vizuri fedha hizo na kuhakikisha zinatumika katika kuleta maendeleo kwa wananchi hasa katika Nyanja za elimu na afya katika maeneo yao. ‘Alisisita’

Alisema Manispaa ya Songea imeweka  mpango  mkakati  wa kuhamisha soko la mazao Sodeco na kupelekwa  eneo la Msamala ambapo hadi sasa Soko hilo linafanyiwa  marekebisho ambayo yamefikia asilimia 70% na baada ya kukamilika hatua zote za ujenzi  litaanza kutumika.

Naye Mh. Mbunge wa Jimbo la  Songea Mjini Dr.  Damas Ndumbaro amewasisitiza Waheshimiwa Madiwani kusimamia na kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi  ili kuleta maendeleo katika Manispaa ya Songea na kuhakikisha wanasikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi  zinazowakabili katika maeneo yao.

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA,

21.05.2021

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa