• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA WATUMISHI WASHIRIKI KUFANYA USAFI

Tarehe ya kuwekwa: July 25th, 2024

Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa Tanzania ni siku ya kuwakumbuka Viongozi wetu katika Taifa letu ambapo hufanyika kila ifikapo tarehe 25 Julai ya kila mwaka.

Aidha  Kitaifa  Maadhimisho hayo yamefanyika katika Jiji la Dodoma ambapo Mgeni rasmi Mheshimiwa  Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu wa jeshi Majeshi ya ulinzi na Usalama.

Katika kuadhimisha siku  hiyo, Wilaya ya Songea Watumishi wameshiriki  kufanya usafi wa mazingira katika eneo la Hosptali ya Mkoa wa Ruvuma, Soko kuu  Songea, pamoja na Stendi ya Mfaranyaki  Songea pamoja na wananchi kufanya usafi kwenye makazi yao.

Akizungumza Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Ruvuma Jumanne Mwankhoo amewataka wananchi kuendelea kuwaenzi na kuwakumbuka  mashujaa wetu kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira kwenye makazi yao  na maeneo ya umma.

Naye,  katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtella  Mwampamba amewapongeza watumishi kwa kujitokeza  kwa wingi  kushiriki zoezi la kufanya usafi wa Mazingira  wakiwemo na askari, na watumishi mbalimbali. Aliwapongeza.


Mwampamba alisema “ Sisi kama watumishi wa Serikali  tumeonyesha mfano bora  wakufanya  usafi ambao ni jukumu letu sote hivyo amewataka wananchi kuiga mfano huo wakupitia  kwenye makazi ya kushi na wanayofanyia kazi” Alisisitiza

Amewataka wataalam wa  Afya na  Mazingira kuendelea kusimamia sheria ndogo za usafi wa mazingira ili zoezi hilo liweze kuwa endelevu na kila mwananchi ahakikishe anatunza mazingira.

Imeandaliwa na;

Amina Pilly

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini. 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa