• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Tarehe ya kuwekwa: December 2nd, 2023

Siku ya UKIMWI Duniani huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 01 Disemba ambapo kwa Manispaa ya Songea maadhimisho hayo yamefanyika katika kata ya Ruvuma Mtaa wa Ruvuma juu katika uwanja wa Black Belt ambayo yalihudhuriwa na wadau mbalimbali kutoka Roa, KONGA, Viongozi pamoja na wananchi kwa lengo la kuongeza ufahamu wa ugonjwa wa UKIMWI unaosababishwa na Virusi vya UKIMWI.

Maadhimisho hayo yanalenga kutoa fursa ya kutathimini hali halisi na mwelekeo wa kudhibiti Virusi vya UKIMWI (VVU) na UKIMWI Kitaifa na kimataifa, kutafakari  changamoto, mafanikio na kuimarisha mikakati mbalimbali ya kudhibiti maambukizi ya VVU na UKIMWI.

Akizungumza Naibu Meya Manispaa ya Songea Jeremia Mlembe  kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Songea ambapo amewataka  wananchi wote kuondoa unyanyapaa kwa waathirika na wagonjwa  wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.

Mhe. Jeremia amewapongeza  KONGA  kwa kujitolea katika kutoa elimu ya kupinga unyanyapaa kwa watu wanaoishi na Virus Vya UKIMWI huku akisisitiza Halmashauri kuendelea kuiwezesha KONGA ili waweze kufikia  malengo yao ya kuifikia jamii.

Aliongeza kuwa ushiriki wa jamii kwa pamoja utasaidia kuondoa dhana ya Serikali na wadau au Asasi zinazoshughulika na mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI na hatimaye kutokomeza maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI  hadi ifikapo 2030.  

Kwa upande wake Mratibu wa Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani Hamprey Mbawala alisema “ kwa mwaka wa fedha julai  2022 hadi juni 2023 jumla ya watu 51,757 wamepima afya zao ikiwa wanaume ni 21,880 na wanawake 29,877 kati ya hao wanaume 512 na wanawake 943  wamekutwa na maambukizi ya VVU sawa 2.8% na wamefanikiwa kuunganishwa  na huduma ya tiba na matunzo katika vituo vya kutolea huduma za VVU (CTC).

Hali ya maambukizi inaonesha kushuka kwa 1.2% ikilinganishwa na mwaka wa fedha Julai 2022 hadi juni 2023 ambapo ilikuwa ni 4.0%  katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

KAULI MBIU 2023;  JAMII IONGOZE KUTOKOMEZA  UKIMWI” 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa