• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SIMBA wa bustani ya Lugari Mbinga anavutia wageni wengi

Tarehe ya kuwekwa: September 18th, 2018

BUSTANI ya wanyama ya Lugari(Lugari Zoo) iliyopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma imekuwa kivutio kwa wageni wengi wanaotembelea bustani hiyo baada ya  kupelekewa mnyama adimu simba kwa lengo la kutoa fursa kwa wakazi wengi wa mkoa wa Ruvuma kumuona mnyama huo mubashara.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Generali Gaudance Milanzi mwaka 2017 aliitembelea Lugari zoo ambapo alimthibitishia Meneja wa hifadhi hiyo Samwel Ndomba kuwa mnyama huyu ataongezwa katika bustani hiyo ya pekee katika mkoa wa Ruvuma jambo ambalo ametekeleza.

Ndomba amesema tayari banda maalum limejengwa kwa ajili ya kumhifadhia simba huyo  ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira ambayo yanamwezesha simba kuishi.


Lugari Zoo yenye ukubwa wa hekta 200 ilianzishwa na Luteni Jenerali Mstaafu Samwel Ndomba mwaka 2013 baada ya kuomba kibali serikalini ambapo alipewa leseni ya daraja la 17 ambalo ni maalum kwa ufugaji wa wanyamapori kwa ajili ya mafunzo na utafiti.

Meneja wa Lugari Zoo, Samwel Ndomba anasema eneo la mradi wa bustani hiyo lina jumla ya hekari 46 ambazo zinaweza kuhifadhi wanyama na ndege zaidi ya aina 200 wakiwemo tausi, njiwa, kasuku,tai na aina nyingine.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 18,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa