• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ST.Benjamin zahanati ya kisasa Songea iliyozinduliwa na Mwenge wa Uhuru

Tarehe ya kuwekwa: June 9th, 2018

UJENZI wa zahanati ya St. Benjamini iliyopo katika Kata ya Msamala Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,ulianza Novemba 2012 na kukamilika mwaka 2014. Ujenzi wa  Zahanati hii umegharimu shilingi 468,000,000.00 ambazo zimetumika kujenga na kukamilisha vyumba 16 na vyoo matundu manane.

 Zahanati  hiyo ilisajiliwa na kuanza kutoa huduma rasmi  Machi 2017. Zahanati hii inahudumia wakazi  kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya Manispaa, ambapo Jumla ya wagonjwa 345 wanapata huduma katika zahanati hiyo  kwa mwezi kati yao watoto ni  75 na wakubwa ni 270.

Hata hivyo  lengo la kujenga zahanati hii ni; Kusogeza huduma kwa jamii,Kupunguza msongamano wa wagonjwa hospitali ya rufaa ya Mkoa (Homso),Kutoa huduma za mama na mtoto (RCH) na wale wenye bima za Afya endapo tutakubaliwa,Kutoa huduma za uchunguzi wa tiba kwa watoto yatima wanaotunzwa katika kituo cha St. Theresa na Kutoa huduma za vipimo mbalimbali za mama wajawazito.

Akizungumza mara baada ya kuzindua zahanati hiyo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 Charles Kabeho ameagiza Mfuko wa Bima ya Afya(NIHF) kushughulikia haraka maombi ya kibali cha zahanati hiyo kutoa huduma kwa kutumia Bima ya Afya ili kuwawezesha wananchi wanaokatwa fedha zao Bima kutumia zahanati hiyo kupata huduma hivyo kupunguza msongamano katika hospitali za wilaya na Rufaa mkoani Ruvuma.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea 

Juni 9,2018


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa