• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAARIFA KWA UMMA.

Tarehe ya kuwekwa: May 24th, 2023

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA ANAWATANGAZIA WANACHI WOTE KUWEPO KWA ENEO LA KIUWEKEZAJI LILILOPO MBELE YA KITUO CHA MABASI TANGA NA PEMBEZONI MWA BARABARA YA SONGEA NJOMBE.

ENEO HILI LINAJUMLA YA EKARI 41 NA SEHEMU YA ENEO HILI LIMESHALIPWA FIDIA.

HIVYO WANANCHI AU MWEKEZAJI YEYOTE MWENYE NIA YA KUWEKEZA KATIKA ENEO HILI ANAPASWA KUWASILISHA OMBI LAKE KUPITIA FOMU YA MAOMBI INAYOPATIKANA KWENYE OFISI ZA KITENGO CHA MANUNUZI AU KWENYE TOVUTI YA HALMASHAURI (www.songeamc.go.tz).  FOMU HIYO INAPASWA KUJAZWA NA KURUDISHWA KABLA YA TAREHE 08/06/2023.

IMETOLEWA NA:

 

DR. FREDERICK SAGAMIKO

MKURUGENZI WA MANISPAA

SONGEA




JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Ofisi ya Rais

Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

                HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA

    (Barua zote ziandikwe kwa Mkurugenzi wa Manispaa

           

FOMU MAALUMU YA MAOMBI YA ENEO LA UWEKEZAJI KWENYE ENEO LILILOPO MBELE YA KITUO CHA MABASI TANGA.

TAREHE YA UJAZAJI: ….......................................

TAARIFA ZA MUOMBAJI.

JINA: …………………………………………S. L. P. ………………….. NAMBA YA SIMU………………………

EMAIL………………………………………..

NA.

AINA YA UWEKEZAJI

 

UKUBWA WA ENEO UNALOHITAJIKA

 (KWA MITA ZA MRABA)

BEI UTAKAYOLIPA (KWA MITA ZA MRABA)

JUMLA YA FEDHA UTAKAYOLIPIA

1.





VIGEZO:

Fomu hii inapaswa kurudishwa kabla ya tarehe 08/06/2023

Fomu hii inapaswa kurudishwa kwenye ofisi ya kitengo cha manunuzi ikiwa imefungwa kwenye bahasha.

Mwombaji atakaye pendekezwa kupatiwa eneo baada ya ufunguzi wa fomu atataarifiwa.

Mwombaji atakaye nunua eneo kubwa kwa bei nzuri atapewa kipaumbele.

Mwombaji anaruhusiwa kuomba kufanya uwekezaji wa zaidi ya eneo moja.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa