• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAFRIJA YA KUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA WILAYA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: January 31st, 2023

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Pendo Daniel ameendesha Tafrija ya kumuaga aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema na kumkaribisha Mkuu wa Wilaya (Mteule) Wilman Kapenjama Ndile iliyofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea tarehe 30 Januari 2023.

Akitoa maudhui ya Tafrija hiyo nanukuu “ Ndugu yetu Pololet Kamando Mgema uliye kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea tumeishi naye kwa zaidi ya miaka 6 na sasa anahama katika Wilaya ya Songea kutokana mabadiliko hayo ofisi ya Wilaya chini  ya  Ofisi ya Mkoa wa Ruvuma tumeona ni jambo jema ifanyike tafrija fupi ya kumuaga  Mkuu wa Wilaya wa Zamani  na kumkaribisha Mkuu wa Wilaya Wilaman Kapenjama Ndile katika wilaya ya Songea.” Mwisho wa kunukuu.

Tafrija hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Madaba, Manispaa, Taasisi mbalimbali, pamoja na viongozi kutoka ngazi ya Mkoa wa Ruvuma  kwa lengo la kuagana na Mkuu wa Wilaya wa Zamani na Mkuu wa Wilaya wa sasa.

Akitoa neno la shukrani aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema alianza kwa kutoa shukrani kwa Chama cha Mapinduzi,  Mheshimiwa Rais Jakaya  Mrisho Kikwete, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuamini  na  kumteua  kuwa Mkuu wa Wilaya na hadi kufikia tarehe 25 Januari 2023 ni zaidi ya miaka 7 kutumikia uongozi. “Pololet alishukuru”.

Pololet  alianza  utumishi wa umma kama katibu wa Tawi akitokea Chuo Kikuu  pia aliwahi kutumikia nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya pia  amemudu katika nafasi ya uongozi kama Mkuu wa Wilaya kwa zaidi ya miaka 7 ambapo alibainisha kuwa kuanzia Februari 18,  2015 kipindi cha uongozi wa awamu ya nne chini ya DKT. Jakaya Kikwete aliteuliwa kwenda kutumikia  Wilaya ya Nachingwea pia  tarehe 26 June 2016 aliteuliwa kuja Songea akitokea Wilaya ya Lindi. “ Alipongeza”

Alibainisha kuwa  katika kipindi cha alichoishi katika uongozi amejifunza mambo mbalimbali kuhusu changamoto kubwa zinazowakabili wananchi wa Songea ni upatikanaji wa mbolea na mbegu pamoja na upatikanaji wa soko la mazao.

Alitumia nafasi hiyo kwa kuwashukuru watumishi wote, viongozi mbalimbali ngazi ya Mkoa na Wilaya, Halmshauri na akasema “ NILIKUWEPO NASASA NAONDOKA NAELEKEA Wilaya ya Mvomero, Kijiji cha Sokoine Mkoani Morogoro. “ Pololet aliwaaga” 

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Kapenjama Ndile alimshukuru Rais kwa kumteua na ameahidi kutoa ushirikiano kwa jamii na viongozi wote.





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa