• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAHADHARI dhidi ya ugonjwa wa homa ya Bonde la Ufa

Tarehe ya kuwekwa: July 2nd, 2018

MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE WA MANISPAA YA SONGEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA BONDE LA UFA (RVF).

UGONJWA HUO TAYARI UMERIPOTIWA NCHI JIRANI ZA KENYA NA RWANDA.

UGONJWA WA HOMA YA BONDE LA UFA NI HATARI KWA BINADAMU NA MIFUGO HUSUSAN NG’OMBE, MBUZI,KONDOO NA NGAMIA AMBAO HUAMBUKIZWA NA VIRUSI JAMII YA BUNYAVIRIDAE.WANYAMA HAO HUAMBUKIZWA KWA KUUMWA NA MBU AINA YA AEDES.

BINADAMU WANAWEZA KUPATA UGONJWA HUO KWA KUSHIKA AU KULA NYAMA NA MNYAMA ALIYEAMBUKIZWA VIRUSI VYA UGONJWA HUO.

DALILI ZA HOMA YA BONDE LA UFA KWA MIFUGO

1.VIFO VINGI VYA GHAFLA NDANI YA MUDA WA SIKU NNE HADI 10

2.KUHARIBU MIMBA

3.KUZUBAA KUTOKANA NA HOMA KALI JOTO NYUZI (104-106)

4.KUHARISHA

5.MIFUGO KUTOKWA NA KAMASI ZILIZOAMBATANA NA DAMU

DALILI ZA HOMA YA BONDE LA UFA KWA BINADAMU

1.MAUMIVU MAKALI YA MISULI,VIUNGO,KICHWA NA SHINGO KUKAKAMAA

2.MGONJWA ANAWEZA KUWA NA TATIZO LA UTI WA MGONGO

WANANCHI WOTE MNASHAURIWA KUTOA TAARIFA HARAKA KWA WATAALAM WA MIFUGO MARA UNAPOONA DALILI HIZO.

WAFUGAJI WANASHAURIWA KUOGESHA MIFUGO YAO MARA KWA MARA KWA KUTUMIA VIUATILIFU VYENYE KIINI CHA PARETO.

WANACHI WANASHAURIWA WASILE NYAMA ISIYOKAGULIWA NA MTAALAM WA MIFUGO.

TANGAZO LIMETOLEWA NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA

 JULAI MOSI 2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa