• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAHADHARI YA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAFUA MAKALI UNAOSABABISHWA NA KIRUS KIPYA AINA YA CORONA-2019.

Tarehe ya kuwekwa: March 20th, 2020

Kauli hiyo imetolewa leo 20/03/2020 katika kikao cha  madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Mwenyekiti wa kikao hicho ni Mstahiki Meya  Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassani Mshaweji ambaye alisema”  MH. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa rai kwa Wananchi wote kuzingatia kanuni za afya na ikiwa pamoja na kutosalimiana kwa kushikana  bali kwa kupungiana mikono, kutoa Ishara ya kuinamisha kichwa, na kugongana miguu, kama njia muhimu ya kujikinga.”

Mshaweji  katika kutekeleza  kanuni za Afya amewaasa wananchi wote kuzingatia maelekezo yanayotolewa na  Serikali ili kuepukana na maambukizi ya virus vya CORONA-2019, Ambapo aliwaomba  viongozi wa dini kutoa elimu wakati wa Ibada, na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima pamoja   na kuendelea kushirikisha  vyombo vya habari ili kutoa elimu kwa jami kila wakati.

Naye Mkurugenzi Manispaa ya Songea Tina Sekambo akiwakilishwa na  Afisa afya Manispaa ya Songea Maxensius Mahundi  ambaye alifafanua kuwa “Taarifa zinaonesha mlipuko wa Homa ya Mafua makali  umeanza China na kusambaa nchi mbalimbali Thailand, Tunisia, Egypt, Kameruni, Nigeria, Morocco, na Nchi jirani ya Kenya.

Mahundi aliongeza kuwa Tanzania imepata mgonjwa mmoja aliyeambukizwa na homa ya mafua makali katika Hospitali ya Mount Meru  mkoani Arusha, Hivyo amewaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huu Hatari.

Akizitaja njia za maambukizi za ugonjwa huu ni kukohoa bila kufunika mdomo, hewa, kupiga chafya, kugusa majimaji/ kamasi yenye virus vya CORONA-2020.  Aidha, alibainisha Dalili za ugonjwa huo ni Homa, mafua makali, kuumwa na kichwa, mwili kuchoka, kukohoa, maumivu ya misuli, vidonda vya koo, na kupumua kwa shida na hata kifo.

Mwisho, amezitaja njia za kujikinga na ugonjwa huu ni kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima, kuepuka kushikana mikono,kukumbatiana, kushika pua, mdomo na uso, kufunika mdomo, pua  wakati wa kukohoa,  kukaa mbali na mtu mwenye dalili za mafua naaliye na historia ya kusafiri  katika nchi zilizoathirika na kirus cha Corona 2019, pamoja na Taasis zote ziweke maji safi na salama tena tiririka na vitakasa mikono ili  watu wanawe  kabla ya kuingia  kuanza huduma kama vile  ( makanisa, misikiti,shule, vyuo, hospital, masoko, n.k

Alimaliza kwa kusema  “ ugonjwa huu hauna chanjo wala Tiba” tuchukue Tahadhari.

                                                             IMEANDALIWA NA;

                                                                   AMINA PILLY

                                           KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa