• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAKUKURU Ruvuma yazitaja Idara zinazoongoza kulalamikiwa

Tarehe ya kuwekwa: January 25th, 2019

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Ruvuma imepokea taarifa 64 kutoka kwa wananchi kupitia vyanzo mbalimbali katika kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Desemba 2018.Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi hiyo katika kipindi hicho kwa wanahabari mjini Songea,Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoani Ruvuma Owen Jasson  amezitaja Idara  zinazoongoza kulalamikiwa kuwa ni serikali za mitaa malalamiko 18,ardhi 16,mahakama tatu na idara ya elimu 4.

Idara nyingine lalamiko  moja,kilimo mawili,mifugo m,TASAF moja,polisi  moja,afya moja,maji moja,madini moja,mifuko ya hifadhi ya jamii moja,vyama vya siasa moja,biashara moja,sheria moja,ulinzi moja,ustawi wa Jamii moja,maliasili moja,ujenzi mawili,Taasisi za Fedha moja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma moja.

Kulingana na Naibu Mkuu huyo wa TAKUKURU,katika kipindi hicho Taasisi hiyo iliweza kuokoa fedha kiasi cha shilingi 256,000 katika sekta ya elimu kama mishahara hewa.Amesema katika kipindi hicho kesi nane ziliendelea mahakamani ambapo kati ya hizo kesi tatu zilisikilizwa na kukamilika na kutolewa maamuzi na kwamba kesi mpya moja ilifunguliwa katika mahakama ya wilaya ya Songea.

"Katika kipindi tajwa TAKUKURU Ruvuma imefanya ukaguzi wa miradi miwili ili kujiridhisha iwapo fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo zinatumika kadri ilivyokusudiwa na kunakuwa na value for money'',alisisitiza Jasson.

Ameitaja miradi iliyokaguliwa katika kipindi hicho kuwa ni mradi wa maji wa Kijiji cha Tingi wilayani Nyasa wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 361 na mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Mkili wilayani Nyasa chenye thamani ya shilingi milioni 442.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Januari 25,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa