• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAMISEMI yaipongeza Tovuti ya Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: June 5th, 2019

MSIMAMIZI wa Tovuti za serikali za mikoa na Halmashauri zote nchini wa TAMISEMI Atley Kuni  ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kwa kuongoza nchini kwa kutoa taarifa mbalimbali mara kwa mara kupitia tovuti hiyo.

Kuni katika taarifa yake kwa maafisa habari na mawasiliano wa mikoa na Halmashauri nchini amesema anaipongeza Tovuti ya Manispaa ya Songea  kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhuhisha taarifa muhimu kwa wakati na usahihi na kuifanya tovuti hiyo kuwa moja ya tovuti zinazofanya vizuri nchini hivi sasa.

“Hivi sasa usipofanya jambo ipo Tool inayofuatilia  tovuti ya kila Halmashauri na kila Mkoa hivyo usipofanyia kazi tovuti yako jua hata tool itaonesha, Niwapongeze Songea Manispaa kwa kazi kubwa tovuti yao ni moja ya tovuti zinazofanya vyema kwa sasa nchini’’,alisema Kuni.

Msimamizi huyo wa Tovuti amekumbusha kuweka taarifa sahihi na kwa wakati katika Tovuti zote za kila Mkoa na Halmashauri nchini.

Ambapo amesisitiza  kupitia Plag in moja moja na kufanya Mabadiliko muhimu yanayotokea.

“kuna Dinamic page ambazo baadhi yetu hatujazifanyia Mabadiliko,Kama Slide show, Events, Announcement, Tender nk. Hizi ni page ambazo kimsingi ukiachilia mbali News na Video Plag zake naamini zitakuwa na matukio ya mara kwa Mara’’.alisema Kuni

Ametolea mfano hivi sasa kuna Mwenge wa Uhuru unaendelea na mbio zake nchi nzima ambapo unapita kwenye ambako Mwenge unapita kwenye tovuti huoni chochote hali ambayo amesema haileti Afya,kwa sababu Serikali imetumia fedha nyingi kuwekeza katika eneo la Tovuti lengo likiwa ni kuhakikisha wananchi katika ngazi zote wanapata taarifa kwa haraka.

Bofya hapa  http://songeamc.go.tz/  kutembelea tovuti ya Manispaa ya Songea



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa