• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA UJENZI WA MADARASA KWA KUTUMIA "LOCAL FUNDI"

Tarehe ya kuwekwa: October 7th, 2022

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA, ANAWAALIKA MAFUNDI KUTOKA PANDE ZOTE ZA HALMASHAURI YA MANISPAA SONGEA WENYE UZOEFU WA UJENZI WA MAJENGO YA SERIKALI KUTUMA MAOMBI KWA AJILI YA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA 76 KATIKA SHULE ZA SEKONDARI  ZILIZOPO MANISPAA YA SONGEA.

WAOMBAJI WENYE NIA YA KUFANYA KAZI HII YA UJENZI, WANAWEZA KUPATA MAELEZO ZAIDI KATIKA OFISI ZA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI HUSIKA  KUANZIA SAA 1:30 ASUBUHI HADI SAA 9:30 ALASILI KWA SIKU ZA KAZI KUANZIA  TAREHE  07/10/2022.

NYARAKA ZA MAOMBI ZINAPATIKANA KWA  MKUU WA SHULE HUSIKA, PIA MAOMBI YOTE KATIKA UHALISIA WAKE (ORIGINAL) PAMOJA NA NAKALA MBILI ZINAZOFANANA, ZILIZOJAZWA KWA USAHIHI ZINATAKIWA KUREJESHWA KWA MKUU WA SHULE HUSIKA.

MWISHO WA KUWASILISHA MAOMBI NI TAREHE 13/10/2022  SIKU YA ALHAMISI   KABLA YA  SAA TANO KAMILI (5.00) ASUBUHI SAA ZA AFRIKA MASHARIKI. 

MAOMBI YOTE YATAREJESHWA KWENYE OFISI  YA MKUU WA SHULE  ULIYOOMBA  KABLA YA MUDA ULIOAINISHWA HAPO JUU.

MAOMBI YATAFUNGULIWA HADHARANI MARA TU BAADA YA MUDA WA MWISHO WA KUWASILISHA, MBELE YA WAWAKILISHI WA WAOMBAJI WATAKAOAMUA KUHUDHURIA KATIKA UFUNGUZI.

SIFA ZA MWOMBAJI.

 ANATAKIWA, AJUE KUSOMA MAHITAJI YA KIUFUNDI YALIYOAINISHWA KATIKA MCHORO NA FOMU YA MAKADIRIO YA UFUNDI, 

AWE NA VYETI VYA MAFUNZO ALIVYOSOMA KATIKA CHUO CHOCHOTE CHA UFUNDI KINACHOTAMBULIKA NA SERIKALI, 

AWE NA UZOEFU WA UJENZI WA MAJENGO  YA SERIKALI.

AWE NA IDADI YA MAFUNDI WASAIDIZI WASIOPUNGUA WATANO (5) NA VIBARUA WA KUTOSHA.

WAOMBAJI WOTE WANASHAURIWA KUTEMBELEA SITE  WANAYOTARAJIA KUJENGA UJENZI  ILI KUONA HALI HALISI.

MAOMBI YATAKAYO CHELEWA, MAOMBI YASIYO KAMILIKA, MAOMBI AMBAYO HAYATAKUWEPO SIKU YA UFUNGUZI, HAYATAPOKELEWA NA KUHUSISHWA NA ZOEZI LA UCHAMBUZI WA KUMPATA FUNDI ATAKAYEFANYA KAZI YA UJENZI.

          KWA  SHULE ZIFUATAZO

S/N
JINA L AKATA
JINA LA SHULE
IDADI YA MADARASA YATAKAYOJENGWA
I
BOMBAMBILI
BOMBAMBILI
7
2
LILAMBO
CHABRUMA
2
3
LILAMBO
SILI
3
4
LIZAMBONI
LONDONI
6
5
MATEKA
MATEKA
2
6
MATOGORO
KALEMBO
2
7
MATOGORO
MATOGORO
2
8
MFARANYAKI
MFARANYAKI
2
9
MISUFINI
ZIMANIMOTO
5
10
MJIMWEMA
LIZABONI
6
11
MJINI
MASHUJAA
3
12
MLETELE
MDANDAMO
1
13
MLETELE
MLETELE
4
14
MSHANGANO
CHANDARUA
6
15
MWENGEMSHINDO
LUWAWASI
6
16
RUVUMA
RUVUMA
2
17
SUBIRA
SUBIRA
2
18
TANGA
LUKALA
4
19
MSAMALA
MSAMALA
 11
 
Jumla kuu 
 
76

 

ANGALIZO;                                           

 Waombaji ni mafundi wa kawaida kutoka pande zote za Halmashauri ya Manispaa ya Songea na siyo  kampuni  za  kikandarasi.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa