• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANGAZO TANGAZO.

Tarehe ya kuwekwa: December 29th, 2020

MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA ANAWAKUMBUSHA WAMILIKI WOTE WA VIWANJA NA MASHAMBA, YALIYOKO NDANI YA MANISPAA YA SONGEA, KUWA MUDA KULIPA KODI YA PANGO LA ARDHI KABLA YA TAREHE 30/12/2020, HIVYO UNAKUMBUSHWA KULIPA ILI KUEPUSHA ADHABU ZITAKAZOANZA KUTOLEWA KUANZIA TAREHE 01/01/2021. 

 

BAADA YA MUDA HUO KUPITA HATUA ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA DHIDI YA WOTE WASIOLIPA KODI YA PANGO LA ARDHI, IKIWEMO KUNYANG’ANYWA, KUUZA KIWANJA/SHAMBA, AU KUSHIKA MALI YA MDAIWA ILI KUFIDIA DENI LA SERIKALI.

 

MAJINA YA WASIOLIPA KODI YAPO KWENYE OFISI YA KILA KATA. PIA WADAIWA WOTE SUGU WANAODAIWA KODI YA ARDHI, KUANZIA TSH. 200,000/= WAMEANZA KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA.

PIA MNAKUMBUSHWA KUWA NI MAARUFUKU KUFANYA  UJENZI WOWOTE  BILA KIBALI CHA UJENZI, HATUA ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA DHIDI YAO, IKIWA NI PAMOJA NA KUTOZWA FAINI AMA KUVUNJA KWA JENGO HUSIKA.

 

NA WALE WOTE WENYE VIBALI VYA UJENZI WAACHE NAKALA ZA VIBALI VYA UJENZI KWA MAFUNDI WANAOENDELEA NA UJENZI.

 

TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA:

MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA

TAREHE: 21/12/2020

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa