• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANTRADE YATOA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA, KUTUMIA FURSA ZA SOKO HURU AFRIKA

Tarehe ya kuwekwa: August 30th, 2023

Tanzania ni miongoni mwa nchi 43 kati ya wanachama 55 za Umoja wa Afrika (AU) waliosaini na kuridhia Makubaliano ya Eneo Huru la Biashara Barani Afrika (AfCFTA) ambapo ilijiunga rasmi Januari 1, 2021.

TANTRADE imeundwa kwa sheria Na. 4 ya bunge ya mwaka 2009 kwa lengo la  kusimamia majukumu ikiwemo  na Kuwa kitovu cha hadhi ya kimataifa chenye nafasi kuu ya kuwezesha, kukuza na kusaidia biashara kwa ubora wa kiuchumi na Kutafuta fursa kwa makampuni ya Kitanzania, hasa Biashara Ndogo, Ndogo na za Kati (SMEs), na kuwaunganisha  washirika wa kibiashara Duniani.

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara chini ya taasisi ya Tantrade inaratibu shughuli za utafutaji wa masoko ya bidhaa za Tanzania ndani na Nje ya Nchi kwa lengo la kukuza uchumi wa Nchi na kusaidia upatikatikanaji wa Masoko ya bidhaa kwa Wananchi.

Akizungumza Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Ruvuma Joel Mbewa alisema “Tanzania ni mwanachama rasmi wa AfCFTA toka 2021 ikiungana na nchi zingine ambazo ni Ghana, Kenya, Rwanda, Niger, Chad, Eswatini, Guinea, Cote d’lvoire, Mali, Namibia, South Africa, Congo, Rep, Djibouti, Mauritania, Uganda, Senegal, Togo, Egypt, Ethipia, Gambia, Sahrawi Arab Democratic Rep, Sierra leone , Zimbabwe, Burkina Faso,Sao Tome & Principe, Equatorial Guinea, Gabon, Mauritius.”

Hayo yamejiri leo tarehe 30 Agost 2023 katika mafunzo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea ambayo yamehudhuriwa na wafanyabiashara Mkoani Ruvuma yaliyotolewawa na TANTRADE kwa lengo la kutoa elimu juu ya kutumia fursa za matumizi ya Soko Huru za Afrika na fursa zilizopo .  

 Mbewa alisema, Fursa hizo zitawezesha kuboresha bidhaa wnazozalisha ili kukabiliana na      soko  shindani lililopo katika soko huru la Africa, kuongezeka kwa idadi ya namba za bidhaa zinazozalishwa ili kupata kufahamika, kupata wanunuzi wa malighafi zilizopo mashambani kwa kuwa kutakuwana soko la kutosha.

Kwa upande wake Afisa  Biashara Mkuu TANTRADE Crispin  Mathew  Luanda  alisema lengo kuu la mafunzo haya ni kuhamasisha wafanyabiashara Afrika  waweze kutumia  fursa zilizopo Afrika  bila mashariti yoyote  kwa lengo la kuongeza uchumi wa nchi na  maisha ya jamii kwa ujumla.

Luanda alisema  Tanzania ni moja ya Nchi ambazo zimeingia Mkataba wa Soko  huru la Afrika kati ya nchi 8 ambazo zimepewa kipaumbele  ikiwemo na Egypt, Rwanda, Morocco, Africa ya Kusini.

Kwa upande  wa wafanyabiashara wakizungumza na chanzo hiki ambapo wametoa shukrani kwa upande wa Serikali kutoa mafunzo ya namna ya kutumia Soko huru la Afrika ambyo yatawezesha kufungua fursa na kuinua kipato cha Nchi, kuongeza uchumi kwa wafanyabiashara kwa ujumla.

IMEANDALIWA NA;                                                                 

AMINA PILLY;               

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.   

 


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa