• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAPSHA " Yawataka Walimu kuongeza Uwajibikaji "

Tarehe ya kuwekwa: June 21st, 2023

Umoja wa Wakuu wa Shule  za Msingi Tanzania TAPSHA “ Tanzania Primary School Head Teachers Association ambao umesajiliwa  na kutambulika kisheria ambapo uliundwa kwa lengo la kuwaunganisha  walimu wakuu wote ngazi ya Halmashauri, Mkoa hadi ngazi ya Taifa.

TAPSHA Manispaa ya Songea ina jumla ya wanachama 92 kati yao shule 81 ni za Serikali na 11 ni shule binafsi ambapo kupitia umoja huo wameweza kufanikisha kutatua changamoto mbalimbali kwa kushirikiana na viongozi ngazi ya Halmshauri ambao umepelekea kufanya vizuri kitaifa  na kuzawadiwa cheti cha pongezi kwa Afisa Elimu Manispaa ya Songea kwa malezi bora ya walimu hao.

 Hayo yamejili katika kikao kazi cha mwaka kilichofanyika  leo 21 juni 2023 katika ukumbi wa SACOS ya Walimu kilichohudhuriwa na viongozi kutoka Halmashauri, Wanachama na Wadau wa Elimu kwa lengo la kufanya tahimini na kuboresha Taaluma katika Manispaa ya Songea.

Akizungumza Afisa Elimu Manispaa ya Songea Frank Sichalwe “amewataka wakuu wa shule wote kuongeza uwajibikaji na kubaini changamoto za kitaaluma na namna ya  kuzitafutia ufumbuzi ili kuleta mabadiliko chanya ya ufaulu kwa wanafunzi.” Alisisitiza


Naye Menyekiti wa TAPSHA Manispaa ya Songea Mwl. Siwetu Ahamadi amesema TAPSHA imejiwekea mikakati ambayo itawezesha kuinua hali ya ufaulu kwa wanafunzi ikiwemo na kuendelea kusimamia na kuandaa mitihani ya upimaji “pre-National kwa madarasa yenye mitihani ikiwemo na darasa la saba, na darasa la nne.

Kwa upunde wa Walimu wakuu waliohudhuria kikao hicho wamesema umoja huo unawasaidia katika kubadilishana uzoefu katika utendaji wa kazi na kuwaweka karibu. “ wameshukuru”

IMEANDALIWA NA;         

AMINA PILLY;

 KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.







Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa