• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TBA yakabidhi bweni sekondari ya wasichana Songea

Tarehe ya kuwekwa: March 22nd, 2018

WAKALA wa Majengo Tanzania(TBA) wamekabidhi bweni mjoa katika shule ya sekondari ya wasichana Songea ambalo limekarabatiwa kwa zaidi ya shilingi milioni 102.

Kabla ya kukabidhi bweni hilo umefanyika ukaguzi wa bweni hilo  la ghorofa likiwa uwezo wa kuchukua wanafunzi 110.

Ukaguzi umewashirikisha watalaam toka Manispaa ya Songea wakiwemo  Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Frowin Komba,Mhandisi wa Ujenzi Karoline Kandonga,Mkuu wa shule ya sekondari ya wasichana Songea Tupoke Ngwala,Mwakilishi wa TBA Mhandisi Eugenics Thomas na viongozi wa serikali ya wanafunzi

Akizungumza baada ya kukabidhi mradi huo Mwakilishi wa TBA Mhandisi Eugenics Thomas amesema ukarabati wa bweni hilo ulianza Januari 10 mwaka huu na kwamba ukarabati wa mabweni mengine matano unaendelea kufanywa katika shule hiyo kwa awamu na kwamba ukarabati wa bweni la pili unaanza rasmi Aprili mwaka huu.

Ametoa rai kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana ambao wataingia katika bweni hilo lenye vitanda 110 na makabati 110 kuhakikisha wanatunza bweni hilo kwa kuwa serikali imetumia fedha nyingi za kukarabati.

Kwa upande wake Mkuu wa shule ya sekondari ya wasichana Songea Tupoke Ngwala amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 1.6 kwa ajili ya kufanyia ukarabati majengo yote ya shule hiyo yakiwemo mabweni na majengo ya utawala.

Shule ya sekondari ya wasichana Songea ni miongoni mwa shule kongwe nchini ina wanafunzi 874 wanaosoma kidato cha tano na sita ambayo ilianzishwa mwaka 1974.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari wa Manispaa ya Songea

Machi 23,2018

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa