• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TEZIDUME haisababishwi na maambukizi ya magonjwa ya ngono

Tarehe ya kuwekwa: July 14th, 2018

UGONJWA wa Saratani ya Tezidume hausababishwi na maambukizi ya magonjwa ya ngono kama wengi wanavyodhani, imeelezwa.

Daktari Bingwa wa magonjwa ya Saratani wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), Steven Meena amesema hayo leo alipozungumza na MTANZANIA Digital katika mahojiano maalum yaliyofanyika viwanja vya maonesho ya Sabasaba.

“Katika banda letu jumla ya wanaume 252 wamejitokeza kufanyiwa uchunguzi wa awali wa saratani ya tezidume kati yao 11 walikutwa na dalili za awali za saratani hiyo,” amesema Meena.

Amesema kuwa awali maonesho hayo yalipoanza idadi ya waliojitokeza ilionekana kuwa ndogo lakini iliendelea kuongezeka kadiri siku zilivyosonga mbele.

“Wapo waliotueleza kwamba walihofia kipimo cha kidole lakini baadae idadi iliongezeka nadhani waliokuja mwanzoni walienda kuwaeleza wenzao kwamba tulikuwa tunatumia kipimo cha PSA (cha damu na si kidole,” amesema.

Ameongeza kuwa, ” Mwamko ulikuwa mkubwa na tumebaini bado jamii haina uwelewa wa kutosha kuhusu magonjwa haya ya saratani, kwa mfano walikuwa wanatuuliza iwapo saratani ya tezidume inahusiana na magonjwa ya ngono, yaani mtu anaweza kuipata kwa kushiriki ngono, jambo ambalo si sahihi, tumewaelimisha.

“Pia tulifanya uchunguzi wa saratani ya matiti kwa wanawake, tumeona jumla ya wanawake 426 kati yao watano tuliwakuta na vivimbe na mmoja tayari alikuwa na dalili za awali za saratani hii,” amesma.

Dk. Meena amesema watu wote waliokutwa na dalili za awali za saratani ya tezidume na matiti wamepewa rufaa kwenda ORCI kwa uchunguzi zaidi na tiba.

CHANZO:GAZETI LA MTANZANIA

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa