• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Tafrija ya Kumuaga na Kumkaribisha DAS

Tarehe ya kuwekwa: July 10th, 2023

Uongozi wa Wilaya ya Songea kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  imeendesha Tafrija  ya Kumuaga aliyekuwa  Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea Bi Pendo Daniel na kumkaribisha  Katibu Tawala Mtela Mwampamba  iliyofanyika katika ukumbi wa Herritage Cottage tarehe 08 Julai 2023.

Akisoma maudhui ya tafrija hiyo Mkurugenzi Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko alisema “Ndugu yetu DAS Pendo  Daniel uliyekuwa Katibu Tawala Wilaya ya Songea, kama Mkoa  bado  tupo naye kwa  kuwa Mbinga ni sehemu ya Mkoa wa Ruvuma pia ukikaa na wenzio katika kipindi kirefu akiondoka inasononesha na leo hii tunakupongeza kwa Uteuzi ulioupata hongera saana.”

Akitoa neno la shukrani Bi Pendo Daniel alisema “kwa mara ya kwanza aliteuliwa 2016  na hadi kufikia 2023 ameteuliwa tena na  Mhe.  Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  ambapo ametoa shukrani kwa kuteuliwa na kuaminiwa katika nafasi hiyo na kwenda kuwatumikia Wananchi wa Wilaya ya Mbinga, hivyo ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Viongozi wote, wadau pamoja na  wananchi. “ ameshuku

Kwa Upande wake Mtela Mwampamba  alisema “Tarehe 01 Julai 2016  aliteuliwa  kuwa Katibu Tawala Wilaya ya Kisarawe  na alitumikia kwa muda wa  miaka 4 minne ambapo kwa mwaka 2023 ameteuliwa kuwa DAS Songea, hivyo ameahidi kutoa ushirikiano kwa wananchi na Vingozi, Alisisitiza”


Akizungumza Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu Joel Mbewa  kwa niaba ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa alisema “ Desturi ya kuwaaga  watumishi wanaohama na kuhamia ni Desturi njema inayopaswa kuigwa, japokuwa sio kila Taasis inaweza kufanya hivyo, lakini mmelipa kipaumbele na kufanikisha kutekeleza jukumu hili hongereni sana.”

Mbewa aliongeza kuwa Utumishi sio kufanya kazi tu bila kuzingatia maisha  na ustawi wa Mtumishi bali watumishi wanapaswa kujiwekea utamaduni wa kupanga kukutana kwa ajili ya kubadilishana mawazo, uzoefu, kama ilivyotendeka leo katika tukio la kumuaga na kumkaribisha mtumishi  ambapo zoezi hilo linafanyika nje ya masaa ya  kazi.

Mwisho alimtakia  kazi njema Bi Pendo Daniel mahala  aendako katika kituo chake kipya cha kazi Wilaya ya Mbinga na kumkaribisha Katibu Tawala Mtela Mwampamba katika Wilaya ya Songea.

Imeandaliwa na                                                    

Amina Pilly                                                                                                                             

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.










Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa