• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TIMU YA WATAALAMU MKOA ILIVYOTEMBELEA MIRADI YA MANISPAA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: November 17th, 2023

Timu ya wataalamu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ikiongozwa na Eng. Gilbert  Simya wamefanya ziara ya kutembelea miradi 11 ya maendeleo  yenye thamani ya shilingi 3,591,415,327 ambapo  kati ya fedha hizo kiasi cha 2,530,493,527 ni fedha za Serikali kuu na Wafadhili na kiasi cha 1,060,921,800 ni fedha za mapato ya ndani ya Halmshauri.

Ziara hiyo imeanza  leo tarehe 17 Novemba 2023 na kuhitimishwa mnamo tarehe 18 Novemba 2023  kwa lengo la  kutembelea  na kukagua mradi  wa Ujenzi wa Hosptali ya Halmashauri unaojengwa kwa thamani ya Bil. 1 ambao umeanza kutoa huduma ya awali ya matibabu OPD, Ujenzi wa shule ya Chief Zulu Academy shule ya Mchepuo wa lugha ya kiingereza inayojengwa kwa thamani ya Mil. 500 fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri.

Miradi mingine iliyotembelewa ni ujenzi wa shule ya Sekondari  (mpya) ya Lawrence Gama iliyopo kata ya Msamala  inayojengwa kwa thamani ya Mil. 500 fedha kutoka kwa SEQUIP, Ujenzi wa vyumba 10 vya madarasa, mabweni 4, na vyoo matundu 15katika shule ya Emmanuel Nchimbi kwa thamani ya Mil 777.5 fedha kutoka Serikali kuu, Ukamilishaji wa Zahanati ya Makambi  kwa thamani ya Mil. 50 pamoja na ukarabati wa vyumba 3 vya madarasa shule ya Msingi Matogoro kwa thamani ya Mil. 40.

Akitoa pongezi  kwa kamati za ujenzi, Wataalamu wa Manispaa kwa usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo ambapo ametoa wito kwa Manispaa ya Songea kuandaa walimu bora watakaoweza kusimamia na kufundisha wanafunzi katika shule ya Chief Zulu Academy.

IMEANDALIWA NA ;                                                                                      

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa