• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TUMEKAMILISHA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA 76 "DC SONGEA APONGEZA"

Tarehe ya kuwekwa: December 19th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema  ametoa pongezi kwa Wataalamu na Viongozi wa Manispaa ya Songea  katika kufanikisha kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo ni ujenzi wa vyumba vya madarasa 76 ambavyo vimekamilika.

Pololet alisema lengo kuu la kutembelea miradi hiyo ni kufanya ukaguzi wa ujenzi wa madarasa 76, viti na madawati ili  kujiridhisha na  hatua iliyofikia kwa kila mradi kwa ajili ya kufanya maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023.

Alisema Wilaya ya Songea ilipokea  fedha za kujenga madarasa 96, kati ya hayo madarasa 10 yamejengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, madarasa 10 katika Halmashauri ya Madaba na madarasa 76 yamejengwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambayo ujenzi wake umekamilika. “ Pololet alipongeza”

Hayo yamejili katika ziara ya ukaguzi wa miradi iliyofanyika leo tarehe 19 Desemba ambayo iliongozwa na kiongozi huyo ambapo alitembelea ujenzi wa vyumba vya madarasa 3 katika shule ya Sekondari Sili, ujenzi wa vyumba vya madarasa  6  katika shule ya Sekondari Luwawasi, ujenzi wa vyumba vya madarasa 6  shule ya Sekondari Lizaboni, madarasa 6 shule ya Sekondari Chandarua, madarasa 2 sule Sekondari Matogoro, madarasa 3 shule ya Sekondari   Mashujaa pamoja na ujenzi wa madarasa 2 shule ya Sekondari Mateka.


Aliongeza kuwa Mafanikio yaliyopatikana yametokana na ushirikiano kati ya wataalamu na viongozi mbalimbali ambayo yamesaidia kuonesha taswira nzuri  ya  usimamizi imara wa miradi Mkoani Ruvuma.

Mhe. Pololet ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha shilingi  Bil.3.2  kwa ajili ya kujenga madarasa 156 Mkoa wa Ruvuma kati ya hizo Manispaa ya Songea ilipokea kiasi cha fedha Bil. 1.52 ambazo zimetumika kujenga madarasa 76 ambayo ujenzi wake umekamilika. “Alishukuru.”

 

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo cha mawasiliano Serikalini.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa