• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TUMIENI mikopo kujikwamua kiuchumi

Tarehe ya kuwekwa: October 13th, 2019

MKUU wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema ametoa rai kwa vikundi vya wanawake ,vijana na wenye ulemavu  ambao wamepewa mikopo kupitia Idara  ya maendeleo ya Jamii katika Manispaa ya Songea kuhakikisha kuwa fedha hizo wanazitumia kujikwamua kiuchumi.

Mgema ameyasema hayo katika hafla ya kukabidhi mikopo kwa vikundi hivyo katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.Mgema amesema mapato wanayo yakusanya kupitia vyanzo vyao vya ndani asilimia 10 ya mapato hayo yanakwenda kwa wananchi ambao ni wanawake, Vijana na wenye ulemavu kwa ajili ya kuweza kuendeleza biashara yao vizuriVile vile Mgema amewasihii sana wajasiriamali  wakitaka faida kubwa inabidi wawe na mtaji mkubwa kwahiyo waache kulimbikiza malejesho ambayo ni kikwazo kikubwa katika kuongezeka kwa mkopo na pesa ikiwa nyingi wataweza kuacha na mikopo ya milioni 1 kwa kila kikundi

Kwa upande Naftari Saiyoloi Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Songea amesema kwa mwaka huu wa fedha 2019 wamejipanga kutoa kiasi cha shilingi milioni 124, lakini watakazo toa ni chini ya hizo kwa sababu fedha zinazo tokana na vyanzo vya ndani zaizi ya milioni 94, wanawake watapata Zaidi ya milioni 37, Vijana watapa Zaidi ya milioni 37, na   watu wa makundi maalumu watapata Zaidi ya milioni18

amesema asilimia 10 ya fedha iliyo kusanywa robo ya mwaka wa fedha ya serikali julai mpaka semptemba 2019 wanazitoa leo mwezi octoba lakini wanazo milioni 30 zinazo tokana na malejesho zinaludi tena kwao ambayo  ni marejesho ya waliyo chukuwa mwanzo wanapewa watu wengine katika mgao wa nne, nne  na mbili kwa wanawake watapata milioni 12   vijana watapata milioni 12, na watu wa makundi maalumu watapata milioni sita

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa