• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KILELE CHA KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI

Tarehe ya kuwekwa: December 10th, 2024

Afisa Tarafa Magharibi Songea Mjini Dismas Komba amewataka  wananchikumtumaini mungu katika imani nakujenga upendo kwa  jamii ili kuondoa chuki, tama mbaya na visasi ambavyo  huchochea  kufanyika kwa vitendo vya ukatili.

Rai hiyo imetolewa tarehe 10 desemba 2024 siku ya kilele cha kampeni ya siku ya 16 ya kupinga ukatili ambayo imefanyika katika kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea.

Akzungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Songea,  alisema “miongoni mwa kata zinazoongoza watoto chini ya miaka 18 kujishughulisha na kazi mbalimbali ni pamoja na kata ya Ruvuma, Majengo, Bombambili, na Lizaboni ambapo watoto hao huonekana wakifanya biashara katika soko la jioni.”


Amewataka wataalamu wa maendeleo ya jamii Manispaa ya Songea kufanya tafiti ili kubaini nini kinsababisha kuongezeka kwa ajira za watoto.

Akizungumza mratibu wa maadhimisho ya kupinga ukatili wa kijinsia Manispaa ya Songea Bi Joyce Mwanja alisema, Katikia kipindi cha  kuanzia Juni 2023 hadi Septemba 2024 Halmashauri ya Manispaa ya Songea imepokea kesi za ukatili  ikwemo na kesi ya Ukatili  wa kingono (21)  Wanawake 17  na Wanaume 4, Ukatili  wa kimwili (20) wote ni Wanawake, Ukatili  wa kisaikolojia (18) wote ni Wanawake, Ukatili  wa kiuchumi kesi (04) Wanawake 03  na Wanaume 01

Aidha,  licha ya idadi ya kesi za ukatili  zilizotolewa taarifa, pia kuna jumla ya watoto waliotambuliwa katika utumikishwaji ambao idadi yao ni wasichana 25 na wavulana 29.

Aliongeza kuwa Lengo la kampeni hii ni kuongeza ushawishi, kubadilishana taarifa, uzoefu, kujenga uwezo wa pamoja, matumizi mazuri ya raslimali zinazopatikana na kuunganisha nguvu za asasi za kijamii katika kuhamasisha, kuelimisha, kukemea na kuchukua hatua kwa pamoja ili kupinga ukatili wa kijinsia katika jamii.  

 

Kaulimbiu ya mwaka 2024 ‘’Kuelekea miaka +30 ya Beijing Chagua Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia.’’ 

 

Kauli mbiu hii inalenga kupaza sauti ya pamoja na ili kuongeza uelewa kwa jamii kuhusu athari hasi za ukatili wa kijinsia na njia za kuondokana na ukatili huo katika jamii.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa