• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TUTAANGAMIA

Tarehe ya kuwekwa: May 24th, 2018

KILA mwaka inapofika Juni 5 ni siku ya mazingira duniani wa mazingira ya ardhini,hewani na majini ambao unaendelea kufanyika kwa kasi kubwa kila siku unaiweka Dunia njia panda.

Wataalam wa mazingira wanasema hali hiyo isipodhibitiwa yatatokea maangamizi kwa viumbehai waliopo katika Sayari ya Dunia wakiwemo binadamu, wanyama, mimea, ndege,wadudu na viumbe hai wengine.

Athari za uharibifu na uchafuzi wa mazingira unaotokana na shughuli za kibinadamu kama uchimbaji wa madini, kuharibu vyanzo vya maji,uchomaji na ukataji miti hovyo,Moshi wa viwandani,matumizi ya kemikali za sumu na shughuli nyingine za uchafuzi.

Uchafuzi na uharibifu wa mazingira ardhini,majini na nchi kavu umekithiri katika kiwango ambacho kinatishia kutoweka kwa sayari ya Dunia na viumbehai, endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa kuinusuru hali hiyo.

Kasi ya kutoweka kwa maji inaongezeka,tatizo la upatikanaji wa maji pia linaongezeka kutokana na kuongezeka kwa ukame unaosababishwa na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji.Vita ya kugombania maji  inakuja.

Wanasayansi wanasema shughuli mbalimbali za kibinadamu zimesababisha kuongezeka kwa joto la Dunia kwa nyuzi 0.85 na kusababisha madhara yote yanayotokea hivi sasa duniani yakiwemo ukame,magonjwa,mafuriko na mabadiliko ya tabianchi.

Hata hivyo wanasayansi wanatahadharisha kuwa iwapo joto  duniani litaongezeka  hadi kufikia nyuzi joto 1.5 ambalo ni ongezeko la  nyuzi joto 0.65  viumbehai  wote waliopo duniani hawataweza kumudu  kuishi.

Kwa mujibu wa wanasayansi Mwaka 2012  ongezeko la joto duniani lilikuwa nyuzi 0.7 na kwamba kiwango cha joto kilifikia nyuzi 0.85 hadi kufikia mwaka 2015.

Hata hivyo  watalaam wanaitaja njia pekee ambayo inaweza kuinusuru dunia katika janga la mabadiliko ya tabianchi ni kupanda miti ya kutosha kila mwaka na kupambana na watu wote wanaokata miti hovyo na kuharibu mazingira kwa ujumla wake.

Takwimu za Shirika la Afya Duniani WHO zinaonesha kuwa zaidi ya watu bilioni mbili kutoka nchi zaidi ya 40 zenye mabonde ya mito wapo katika vita ya kugombania maji  kutokana na uchafuzi wa vyanzo vya maji unaoendelea kwa kasi duniani kote na kusababisha maji kukauka.

Utafiti mpya umeonesha kuwa watu milioni sita kote duniani wanakufa kila mwaka kutokana uchafuzi wa  mazingira ya hewa ambapo asilimia 90 ya watu wote duniani wanavuta hewa chafu.

Mazingira  salama ndiyo msingi wa uhai wetu,mazingira yakiwa na afya tutakuwa na afya,mazingira yakiugua tutaugua na mazingira yakifa viumbe wote tunafutika  katika uso wa dunia.

Mwandishi wa Makala haya ni Afisa Habari wa Manispaa ya Songea

Baruapepe albano.midelo@gmail.com,simu 0784765917

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa