• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UFAULU sekondari Manispaa ya Songea wafikia asilimia 88

Tarehe ya kuwekwa: September 19th, 2018

UFAULU wa wanafunzi kwa kidato cha nne katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma umetoka asilimia 73.2 mwaka 2016 na kufikia asilimia 88 mwaka 2017. Hata hivyo katika mwaka 2017/2018 jumla ya wanafunzi 19 walibainika na kuripotiwa  kuwa na mimba.

Halmashauri ina jumla ya Shule za Sekondari  40, kati ya hizo 24 zinamilikiwa na serikali na 16 za  binafsi. Jumla ya wanafunzi katika shule za sekondari za Serikali ni 12,404  ikiwa Wavulana ni 5,893 na Wasichana ni 6,511 na wale wa Shule binafsi ni 4,536, Wavulana 2,438 na Wasichana ni 2,098.

Hata hivyo  Halmashauri ya Manispaa ya Songea ina Shule tano  zenye wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita ambazo zina jumla ya Wanafunzi 2,146 ikiwa Wanafunzi 992 ni Wavulana na Wanafunzi 1,154 ni Wasichana.

Halmashauri ya Manispaa ya  Songea imeendelea kutengeneza madawati kwa kutumia karakana yake ambapo tayari hivi sasa madawati 160 yametengenezwa kwa ajili ya kupelekwa kwenye Shule za Sekondari. Pia Halmashauri inaendelea kutengeneza madawati katika karakana yenye thamani ya Tshs. 26,000,000.00.

Katika mwaka 2018/2019 Halmashauri ya Manispaa ya Songea inatarajia kupokea kiasi cha Tshs. 325,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa mabweni matatu yenye uwezo wa kulaza wanafunzi 80 kila bweni na madarasa matano pamoja na meza 40 na viti 40 katika Shule ya Sekondari  ya Wavulana Songea.

Halmashauri pia imepokea fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi katika Shule  za sekondari kupitia mpango wa Lipa kulingana na Matokeo (P4R). Kupitia mpango huo Halmashauri Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 imepokea jumla ya Tsh. 17,000,000/= ambazo zimetumika kwa ukamilishaji wa vyumba viwili vya maabara na matundu tisa ya choo katika Shule mbili za sekondari za Lukala na Londoni. 

 Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Manispaa ya Songea imepokea jumla ya Tsh 162,700,000/= kwa ajili ya ukamilishaji wa vyumba 14 vya maabara katika shule za sekondari 8 na kaazi imekamilika kwa asilimia 90% na kunufaisha wanafunzi wapatao 5972.

Kuhusu fedha za elimu bila malipo,manispaa ya Songea  Kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo 2016/2017  na 2017/2018, kupitia Mpango wa Elimu bila malipo Halmashauri imepokea jumla ya Tshs. 2,887,986,760.00,ambapo  Upatikanaji wa fedha hizo umeboresha miundombinu ya madarasa, vyoo, samani, upatikanaji wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia shuleni na hivyo kufanya kazi ya ufundishaji kuwa rahisi kwa Walimu sawa na asilimia  100 ya utekelezaji wa fedha zilizopokelewa za Elimu Bila malipo.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 19,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa