• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UGONJWA wa kisukari unavyoathiri wananchi wa Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: July 1st, 2018

KISUKARI ni ugonjwa sugu ambao unatokana na sukari kuwa juu kwa muda mrefu kwenye damu.Kutokana na tatizo hilo kuwa tishio Shirika la Afya Duniani limeweka Novemba 14 kila mwaka kuadhimisha siku ya kisukari.

Kwa mujibu  wa Geofrey Mdede  Daktari  wa Magonjwa ya Kisukari katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma,kuna aina mbili za kisukari, ambapo aina ya kwanza huitwa Diabetes Type 1, na aina ya pili huitwa Diabetes Type 2.

“Diabetes Type 1 mtu anakuwa amezaliwa na kongosho ambalo halina uwezo wa kutoa kiasi cha kutosha cha kichocheo cha insulin. Wagonjwa wa aina hii, kwa kawaida huitaji kuwa wanachoma sindano za vichocheo vya insulin katika maisha yao yote”,anasema Dk.Mdede.Hata hivyo anabainisha zaidi kuwa katika aina hiyo ya kwanza ya ugonjwa wa kisukari, wagonjwa hugundulika mapema wakati wa utoto, au wakati wa ukuaji.

Kuhusu aina ya pili yaani diabetes type 2, Dk.Mdede anasema ugonjwa huo huwapata watu kuanzia umri wa miaka 45 na kwamba aina hii ya kisukari husababishwa na aina ya maisha ambayo watu wanaishi na aina ya vyakula vinavyotumika.Licha ya kwamba tatizo la ugonjwa wa kisukari ni la kidunia,Katika Mkoa wa Ruvuma ugonjwa wa kisukari ni tatizo kubwa hali ambayo inaleta athari kubwa kijamii na kiuchumi.

Daktari wa Magonjwa ya Moyo na Kisukari katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma Dk.Mdede anasema hadi sasa wamesajiri wagonjwa 500 wa kisukari ambao wanapata matibabu bure.

Anazitaja dalili kuu za mtu mwenye kisukari kuwa ni kunywa maji sana,kupata kiu mara kwa mara,kuwa na njaa mara kwa mara na  kukojoa mara nyingi.Takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) zinaonesha kuwa hadi kufikia mwaka 2016 kuna watu milioni 422 duniani wanaougua ugonjwa wa kisukari.

Mwandishi wa makala haya ni Albano Midelo

mawasiliano albano.midelo@gmail.com,simu 0784765917

 



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa