• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UJENZI wa barabara ya lami Mbinga-Mbambabay waanza rasmi

Tarehe ya kuwekwa: May 20th, 2018

UJENZI wa barabara ya lami nzito kutoka Mbinga hadi Mbambabay Makao Makuu ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma,umeanza rasmi.Kampuni ya China Henan International Corparation Group Ltd (CHICO) ambayo imeingia mkataba wa ujenzi wa barabara hiyo na serikali,tayari imepeleka mitambo mbalimbali ya kisasa ya ujenzi wa barabara hiyo.

 Mbunge wa Jimbo la Nyasa na Naibu Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Manyanya ametembelea eneo ambalo Kampuni hiyo inakamilisha kambi lao ikiwa ni sehemu ya  maandalizi ya mwisho ya ujenzi wa kambi.

Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa kilometa 67 toka Mbinga hadi Mbambabay ambayo itagharimu shilingi bilioni 129.

Mkataba huo wa miezi 24 umesainiwa Desemba 11,2017 na Kampuni ya CHICO ambayo inatarajia kukamilisha kazi ya ujenzi wa barabara hiyo kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.

Mbunge wa Jimbo la Nyasa,Mhandisi Manyanya amesema kukamilika kwa barabara hiyo kunafungua milango ya utalii katika mwambao mwa ziwa Nyasa ambako kuna karibu aina zote za vivutio vya utalii na uwekezaji na kwamba barabara hiyo itakuwa kiungo muhimu cha nchi za Tanzania,Malawi na Msumbiji ambazo zitatumia bandari ya Mbambabay.

Kukamilika kwa kipande cha barabara toka Mbinga hadi Mbambabay kunakamilisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami katika ukanda wa Mtwara Corridor toka Mtwara hadi Mbambabay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma hivyo kufungua milango ya uwekezaji na utalii katika ukanda wa kusini.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari  Manispaa ya Songea

Mei 19,2018

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Manispaa ya Songea Wakili. Muhoja, Akabidhi Eneo la Mradi wa Ujenzi wa masoko na Kiwanda Lilambo.

    July 15, 2025
  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Tazama zote

Video

UJENZI WA MASOKO MANZESE A & B, NA KIWANDA KUANZA KUJENGWA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa