• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UTEKELEZAJI WA LISHE - ROBO YA KWANZA 2022.

Tarehe ya kuwekwa: November 7th, 2022

Manispaa ya Songea inaendelea na utekelezaji wa kupambana na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano  5 kwa kutoa unasihi wa uandaaji wa chakula  na ulaji unaofaa   kwa akinamama wajawazito, wanaonyonyesha, walezi wa watoto wenye umri chini ya miaka 5.

Katika kukabiliana na utapiamlo Manispaa ya Songea  imewekwa mikakati  ambayo inasaidia kuondoa utapiamlo ambayo ni pamoja na  kuhakikisha vyakula vyote vinavyopelekwa shule  vinaongezwa viini lishe, kuhamasisha wazazi  kuchangia  chakula shuleni, kutoa lishe kwa VVU, na kutenga bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa lishe.

Mikakati hiyo imetamkwa kwa katika kikao cha kamati ya lishe cha robo ya kwanza  kilichofanyika tarehe 04 Oktoba 2022  chenye lengo ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa lishe kuanzia mwezi julai  hadi Septemba 2022.

Afisa Maendeleo ya jamii Manispaa ya Songea Martin Mtani akimwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea  amewasisitiza wazabuni wanaopeleka chakula mashuleni kuhakikisha wanapeleka vyakula vilivyoongezewa viini lishe kama unga, mafuta, na chumvi ili kujenga afya bora kwa wanafunzi.

Kwa upande wake Mganga mkuu Manispaa ya Songea Amos Mwenda amesema jumla ya watoto chini ya miaka mitano  32,283    walinchunguzwa na kati yao 37,818 sawa na asilimia 0.117%  ambapo kati yao 12 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali  ni  asilimia 0.0003%, pia watoto 27  sawa na asilimia 0.07% waliochunguzwa na  waligundulika kuwa  na  utapiamlo wa kadiri,  na watoto 37,779 waliochunguzwa sawa na asilimia 99.8% hawakuwa na utapiamlo.

 Afisa mifugo Manispaa ya Songea Rozina Chuwa alisema ili kukabiliana na utapiamlo idara ya mifugo imehamasisha  wananchi  na kufanikiwa kuunda vikundi 21  vya  ufugaji wang’ombe wa maziwa ambavyo vinawezesha  upatikanaji wa mazao ya maziwa.

 Aliongeza kuwa Manispaa ya Songea imeweka malengo ya kuweka  kituo cha kukusanyia maziwa ambapo itasaidia kuwa na uhakikia wa soko la maziwa, kutoa mwelekeo wa aina ya bidhaa itakayozalishwa na wasindikaji mtindi, siagi, samuli, kujenga makuzi bora kwa watoto pamoja na kufanya  upimaji wa maziwa  kabla hayajakwenda kwa mlaji.

Naye Afisa Lishe Manispaa ya Songea Albert C. Simkamba ametoa rai kwa Wahudumu wa afya na Watendaji wa kata na mitaa kuendelea kushirikiana  kutoa elimu ya lishe kwa jamii  kwa kutumia mikutano na vikao mbalimbali vya jamii na  kuhamasisha utoaji wa lishe kwa watoto chini ya miaka mitano 5.

 

AMINA PILLY

MAWASILIANO SERIKALINI. 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa