• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UZALISHAJI wa korosho na kahawa Ruvuma waongezeka

Tarehe ya kuwekwa: September 7th, 2018

UZALISHAJI wa zao la korosho katika Mkoa wa Ruvuma umeongezeka kutoka tani 8,502 msimu wa mwaka 2015/2016 hadi kufikia tani 21,500 msimu wa mwaka 2017/2018.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya CCM ya mwaka 2015 katika kipindi cha Julai 2017 hadi Juni 2018,kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema ongezeko hilo ni sawa na asilimia 152.

Mndeme amebainisha kuwa ongezeko hilo limeenda sanjari na kipato cha mkulima ambapo bei ya juu ya kilo moja ya korosho katika mnada kwa msimu wa mwaka 2016/2017 ilifikia kiasi cha shilingi 4010.00 na kwamba bei hiyo haijawahi kufikiwa katika msimu wowote wa uzalishaji.

“Malengo ya uzalishaji wa zao hilo katika msimu wa kilimo wa mwaka 2018/2019 kuwa ni kufikia tani 30,000’’,anasisitiza Mndeme.

Akizungumzia uzalishaji wa zao la kahawa,Mkuu huyo wa Mkoa wa Ruvuma amesema zao hilo pia uzalishaji umeongezeka kutoka tani tani 12,488 msimu wa mwaka 2015/2016 hadi kufikia tani 17,223 msimu wa mwaka 2017/2018 sawa na ongezeko la asilimia 38.

Hata hivyo amesema kumekuwepo na jitihada  za kuongeza tija katika uzalishaji wa zao la kahawa na kwamba Mkoa wa Ruvuma unaye Mwekezaji mkubwa wa zao la kahawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea kijiji cha Lipokela anayeitwa AVIV ambaye anazalisha wastani wa tani 1400 katika eneo la hekta 1,036.

Mkoa wa Ruvuma unaendelea na jitihada za kuboresha mazao makuu ya kimkakati yanayolimwa ambayo ni kahawa,korosho na tumbaku ambayo uzalishaji wake umekuwa ni wa kuridhisha.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Serikalini

Septemba 7,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa