• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UZINDUZI WA PROGRAMU JUMUISHI YA TAIFA YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO.

Tarehe ya kuwekwa: September 29th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Kanal Laban Thomas  amewataka viongozi  Mkoani Ruvuma kuwashirikisha Wananchi/Wazazi  kwa kufanya Mikutano mbalimbali na kuona namna bora ya kutekeleza program  jumuishi ya Taifa ya Malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili kuepuka matendo ya ukatili mwingi unaotokea nyumbani ukihusishwa na wadada wa kazi.

Hayo yamejiri leo  29 Septemba 2023 wakati wa uzinduzi wa program jumuishi ya Taifa yam malezi na maendeleo ya awali ya mtoto (PJT-MMMAM- 2021/2022-2025/2026) iliyofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea iliyohudhuriwa na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, watumishi idara ya Maendeleo ya jamii pamoja na Viongozi kutoka TAMISEMI.

Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Aziza Mangosongo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa amewataka “ Wakuu wa Wilaya kwenda kuzindua Program hiyo kiwilaya kabla ya mwezi wa 12.2023 ili  Halmashauri iweze  kufanya utekelezaji kadiri ya Mipango kazi yao pamoja na Wakurugenzi kuhakikisha wanafikisha  program hiyo kwenye ngazi ya Kata,Vijiji na Mitaa ili kuhakikisha utekelezaji wake unafanyika kwa urahisi.” Alisisitiza”

Alisema Pamoja na mipango kazi yao ya Mwaka watakayo kuwa nayo ni Vyema pia kama Mkoa ushirikiane katika Kuihamasisha jamii kuwa na malezi yenye maadili, Lishe bora, kuhudhuria Kliniki  mara tu mama anapokuwa mjamzito, Jamii nzima kuwa ni Walinzi Watoto lakini hili linzie ngazi ya familia, Kuhamasisha Wazazi kushiriki kwenye Maendeleo ya Elimu hususani ujenzi wa miundombinu ya Shule, kutengeneza  Vifaa vya kujifunzia  ambavyo vinapatikana kwenye jamii husika.

Mikakati mingine ni  Wadau kuendelea  kuisaidia  Serikali katika kuchangia maendeleo ya ujenzi  wa miundombinu  rafiki kama vile madarasa changamshi ya Watoto wa Elimu ya Awali na Vituo vya kulelea   Watoto Wakati wa Mchana.

Aidha, Lengo la kikao hicho ni kukumbushana na kuelekezana umuhimu wa kuwekeza kwenye umri wa miaka 0 - 8 kwani ndio umri wa ukuaji na ujifunzaji wa Mtoto huenda kwa kasi Zaidi.

Alibanisha kuwa, Program hii imekuja kuunganisha nguvu za pamoja kupitia Idara mbalimbali  katika utekelezaji wa Mipango ya Serikali na Ilani ya Chama cha Mapiduzi inayomlenga Mtoto mwenye umri kuanzia miaka 0-8 ambapo kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 idadi ya Watoto walio na umri kuanzia mwaka 0 – 8 wapo 458,796 ikiwa ni asilimia 24.8 ya watu wote waliopo Mkoa wa Ruvuma.

Imeandaliwa na;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Mbunge Akabidhi Kompyuta 6 na Kufadhili Ukarabati wa Ofisi za Polisi
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa