• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJANA Songea waanzisha kiwanda

Tarehe ya kuwekwa: July 16th, 2019

VIJANA watano katika Kata ya Matogoro Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wameanzisha kiwanda cha kutengeneza stick za kuchomea mishikaki na kuchokonolea meno.

 Mbunge wa Songea Mjini Dkt.Damas Ndumbaro ametembelea kikundi hicho kinachoitwa  Matogoro Stick Industry.

Akitoa taarifa ya kiwanda hicho,Katibu wa kiwanda hicho Suleiman Twaibu  ameyataja malengo ya kuanzisha kiwanda hicho ni kuweza kutumia mianzi inayopatika kwa wingi   katika Wilaya ya Songea na  maeneo ya jirani ili kuzalisha bidhaa aina ya stick za kuchomea mishikaki na za kuchokonolea meno kwa afya ya watumiaji.

“Tumefanikiwa kutengeneza pesa kiasi cha shilingi milioni nne kupitia stick Industry,tumeweza kuboresha jengo la kiwanda kwa kuingiza umeme na kulipia madeni ya nyuma ya jengo hili’’,alisema Twaibu.

Alisema wametengeneza mashine nne za kuzalishia bidhaa zetu. Mashine ya kuchana mianzi,mashine ya kuchonga  umbo na ukumbwa wa stick,Mashine ya kungarisha na mashine ya kufungasha bidhaa.

Katibu huyo amezitaja changamoto wanazopata katika kiwanda chao kuwa ni  ukosefu wa eneo la kutumia katika utendeaji wa kazi zao,jengo wanalotumia hivi sasa ni jengo la CCM, hivyo wanatumia chumba kimoja wakati kazi yao inahitaji vyumba sita.

 Amezitaja changamoto kuwa ni ukosefu wa mashine za kisasa zenye ubora wa kuzalisha bidhaa bora na kwa wingi,upatikanaji wa malighafi umekuwa changamoto baada ya wakulima wa zao hilo kupandisha bei,vifungashio pia bado ni changamoto ukilinganisha na ushindani  katika soko.

Twaibu ameyataja  matarajio ya kikundi hicho kuwa ni , kununua eneo la kutosha na kujenga miundo mbinu ya kiwanda katika maeneo yaliyotengwa kwa shughuli za viwanda na  kununua e shamba kubwa la zao la mianzi na kuendelea kutoa elimu na kuhamasisha kilimo cha zao la miazi ili kiwanda hicho kipate malighafi za kutosha siku za usoni.  

Imeandaliwa na Farida Mussa

Kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Julai 15,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa