• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIPODOZI vyenye viambata vyenye sumu vyakamatwa Songea

Tarehe ya kuwekwa: March 29th, 2018

IDARA ya Afya katika Manispaa ya songea kwa kushirikiana na wataalam wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) wamefanya operesheni katika maduka ya vipodozi mjini Songea na kufanikiwa kukamata aina mbalimbali za vipodozi ambavyo vinadaiwa kuwa na viambata vya sumu.

Hata hivyo Afisa Afya na Mratibu wa TFDA Manispaa ya Songea Vitalis Mkomela amesema uchunguzi wa vipodozi hivyo unaendelea kufanywa ambapo taarifa kamili ya aina za vipodozi vilivyokamatwa ,madhara yake kiafya na thamani ya vipodozi hivyo itatolewa baada ya sikukuu ya Jumatatu ya Pasaka.

“Uchunguzi wa awali umebaini vipodozi vilivyokamatwa vina viambata vyenye sumu ambavyo vinaweza kusababisha matatizo ya kiafya kwa watumiaji “,anasisitiza Mkomela. 
Mkomela anavitaja viambata vyenye sumu vilivyopigwa marufuku kuwa Vingi vikiwa katika lugha ya kiingereza kuwa ni  vyenye Chloroquinone (Hydroquinone na kemikali zingine),Steroids,Betamethasone,Beclomethasone, Hydrocortisone,Clobetasol,na Dexamethasone.

Viambata vingine anavitaja kuwa ni vyenye Mercury (Zebaki) na kemikali zinazotokana nayo Chloroform,Bithionol,Hexachlorophene,Mercury (Zebaki) ,Vinylchloride,Zirconium,kemikali zinazotokana Methyelene chloride,Halogenated salicylanilides, (Dimetabromsalan, Trimetabromsalan, na Chlorofluorocarbons Kwenye pafyumu na deodorants.

Utafiti umebaini kuwa zaidi ya asilimia 52 ya wanawake nchini hutumia vipodozi vyenye sumu ambavyo huwasababishia matatizo mbalimbali ikiwemo saratani ya ngozi,figo na kuharibika kwa mimba kwa Mama mjamzito.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Machi 29,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa