• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VITUO VYA ELIMU VISIVYASAJIRIWA MARUFUKU

Tarehe ya kuwekwa: October 4th, 2017

VITUO VYA ELIMU VISIVYOSAJIRIWA MARUFUKU

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea  imewaandikia barua wamiliki wote wa vituo vya kutolea elimu yoyote bila kusajiliwa kuacha mara moja  kwa kuwa ni kinyume cha sheria na wanaweza kuchukuliwa hatua.Idara ya Elimu katika Manispaa hiyo imetoa maagizo kwa wataratibu wa elimu kata zote 21 kusimamia utekelezaji wa agizo hilo ambapo kuanzia Septemba 2017 hairuhusiwi mmiliki wa shule au kituo cha tuition kutoa masomo bila kusajiliwa.

Idara hiyo imebainisha kuwa zimeibuka Taasisi zisizo rasmi na watu binafsi kuanzisha vituo vya elimu na kujitangaza kwa njia mbalimbali kwamba zinatoa masomo ya ngazi mbalimbali za elimu kuanzia chekechea, msingi, sekondari na vyuo.Vitendo vya kuanzisha vituo hivyo ni kinyume cha sheria,kanuni na taratibu kwa sababu kuanzisha shule au kituo kuna taratibu zake ikiwemo kupata usajili kisheria na kufuata taratibu nyingine zinazotolewa mara tu baada ya kupata usajiri.

Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknlojia hutoa taratibu na miongozo ya kufungua na kuendesha shule,vyuo na vituo vya elimu vya umma na watu binafsi kwa ajili ya kutoa elimu rasmi na isiyokuwa rasmi kwa wananchi.

Kwa mawasiliano hakikisha unaonana na Idara ya Elimu Manispaa ya Songea au kupitia Kitengo cha Elimu ya Watu Wazima ambao wanatoa utaratbu wa jambo hili.

Taarifa imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari wa Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa