• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KIKAO CHA WADAU WA ELIMU CHA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MADAWATI KATIKA SHULE ZA SEKONDARI.

Tarehe ya kuwekwa: August 22nd, 2023

Halmashauri ya Manispaa ya Songea inaendelea kutekeleza  mimakati ya kuboresha elimu kwa shule  za Msingi na Sekondari katika kutatua changamoto za miundombinu ya Elimu ikiwemo na viti na madawati, pamoja na upatikanaji wa chakula shuleni.

Manispaa ya songea ina jumla ya wanafunzi 19,097 katika shule za Serikali 25 zilizopo Manispaa ya Songea,  ambapo hali halisi ya mahitaji  ya viti na meza  ni 16,119 na upungufu ni viti na meza 3622.

Hayo yamejiri wakati wa kikao  cha wadau wa elimu kilichofanyika tarehe 22 Agosti 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kilichoshirikisha Waheshimiwa Madiwani wa kata zote 21, Maafisa watendaji wa kata 21,  Maafisa Elimu, Wenyeviti wa Bodi za shule, pamoja na maafisa Elimu kata kwa lengo la kujadili  changamoto mbalimbali  za shule za Sekondari.

Akizungumza Naibu Meya Jeremiah Mlembe  kwa niaba ya Mstahiki Meya Manispaa ya Songea  amewataka Maafisa Elimu Kata, Maafisa watendaji wa kata pamoja na Madiwani kuhakikisha wanahamasisha  wazazi  kuchangia viti na meza kama walivyofanikiwa kata ya Matogoro ambao walivyoweza  kuhamasisha michango kwa wazazi na kufanikisha kutanzua  changamoto za madawati iliyokuwa inazikabili  shule za kata hiyo.

Jeremiah amebainisha baadhi ya mikakati ambayo inakwenda  kutekeleza  ili kufikia lengo la madawati 3622  ni pamoja na  bodi za shule  kuitisha vikao vya wadau wa elimu, kuwepo kwa sheria ndogo pamoja na maelekezo mbalimbali yatakayotolewa kwa ajili utekelezaji huo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Songea Alto Liwolelu alisema “ hatua hiyo imekuja baada ya mafanikio kupitia  mchakato uliofanywa na uongozi wa kata ya Matogoro ambao  wamefanikiwa kutengeneza madawati zaidi ya 500 kwa shule za Serikali, hivyo amewataka viongozi kuiga mfano huo. “ Alipongeza”

Imeandaliwa

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa