• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAFANYABIASHARA waaswa kulipia leseni za biashara

Tarehe ya kuwekwa: August 23rd, 2019

AFISA Biashara wa Halmashauri ya Manispaa Songea mkoani Ruvuma Furaha Mwangakala amewataka wafanyabiashara kukata na kulipia leseni kwa wakati ili kuepuka usumbufu wa kufungiwa biashara  zao.

Mwangakala akizungumza ofisini kwake mjini Songea, ameeleza umuhimu wa kuwa na leseni ya biashara na kulipia kwa wakati na kwamba ni dhamana kwa mfanyabiashara,pia inatambulisha biashara yake, Serikali inamtambua  na  inamrasimisha mfanyabiashra na kazi yake.

Amesema  kuwa ni muhimu kwa wafanyabishara kukata leseni kwa wakati ili kuepuka adhabu mbalimbali zinazoweza kusababisha kufungiwa biashara zao na kutokuwa huru katika utendaji wa kuuza na kutoa huduma ambapo kwa mfanyabiashara asiye na kibali na asiye lipia adhabu ya kisheria ni kati ya shilingi 200,000 na isiyozidi shilingi 1,000,000 .

“kwa mfanyabiashara leseni ni kama dhamana na anatakiwa kulipia leseni  siku 21 mara baada ya kuisha.”amesisitiza Mwangakala

Hata hivyo amezitaja changamoto ambazo wanakumbana nazo ni pamoja na uelewa mdogo  kwa wafanyabiashara na kusababisha  wengi wao kutokuwa na leseni ambapo kwa mwaka 2018 wafanyabiashara wenye leseni walikuwa asilimia 96 na mwaka 2019 ni asilimia 94 hivyo kuna upungufu wa asilimia 2 kwa mwaka 2019.

Mwangakala amesema mwaka 2019 wafanyabiashara 96 wamefunga biashara zao kutokana na kufirisika hivyo kusababisha kupungua kwa walipaji kodi kwa asilimia mbili pia ameiomba serikali kuboresha gharama za kodi ili ziwe rafiki kwa wafanyabiashara.

 Amezitaja namna mbili za kutoa leseni ambazo ni  kwa bidhaa au huduma ambazo  hudumu  kwa mwaka na leseni za vilevi ambazo  hudumu  kwa mienzi sita.

Imeandaliwa na

Myovela Jamila

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 23, 2019 

Matangazo

  • MATANGAZO mbalimbali ya Manispaa ya Songea kwa njia ya Redio June 07, 2023
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2023 June 07, 2023
  • MATANGAZO muhimu kwa wakazi wa Manispaa ya Songea June 05, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA PROGRAMU JUMUISHI YA TAIFA YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO.

    September 29, 2023
  • NAIBU MEYA ATOA FEDHA ZAIDI YA MIL. 1 KUJENGA MSIKITI KATA YA BOMBAMBILI

    September 22, 2023
  • DELIGHT GARDEN PARK YAANZA KUTOA HUDUMA

    September 23, 2023
  • ASHINDA KWA KISHINDO KWA KURA 1872 CHRISTOPHER KAYOMBO

    September 19, 2023
  • Tazama zote

Video

WELCOME DELIGHT GARDEN PARK
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa