• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAJUMBE wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma waridhishwa na mradi wa Kituo cha Afya Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: September 5th, 2019

Mwenyekiti wa kamati ya Siasa Mkoa wa Ruvuma wilaya ya Songea amefurahishwa na juhudiza utendaji kazi ya ujenzi wa kituo cha Afya katika kata ya Ruvuma.

Akitoa taarifa Mganga Mkuu wa Halimashauri ya Manispaa ya Songea, Dkt Mamerita Basikeamesema Manispaa ya Songea ilipokea fedha kutoka Serikali ya jamhuri ya Muungano waTanzania Shilingi milioni 400,kwa ujenzi wa kituo cha Afya Ruvuma mwezi Juni 24,2018.

Kwa upande wake Basike amesema Ujenzi wa kituo cha Afya cha Ruvuma ulianza Julai 24,2018 baada ya kupata mchoro kutoka OR-TAMISEMI.

Mradi huu umekamilika kwa kazi zote ambazo ziliainishwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI,mradi umegharimu shilingi Bilioni 400,

Basike amezitaja kazi zilizofanyika katika kumilika ni Jengo la OPD, Jengo la Maternity, Jengola Theatre, Jengo la Maabara, ujenzi wa shimo la choo na shimo la kongo la nyuma na ujenzi wa

kichomea taka.

“Halmashauri imeomba vifaa na madawati kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI ili kituo cha Afyakianze kutumika kituo hiki kitahudumia wananchi wa kata ya Ruvuma,Mateka, Majengo, subira,

Mfaranyaki na Lizaboni.”amesema Basike.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mdeme ameshauri wajenge baranara zenye lamiili kuondo vumi katika eneo hilo la kituo cha Afya kuondo mazingira ya vumbi kwa wagonjwa.

Ruvuma ni miongoni mwa kata 21 zilizopo katika Manispaa ya Songea.Kata hii ina jumla yamitaa minne ambayo ni Ruvuma Juu, Ruvuma Chini Mbulani A na Mbulani B kata ina jumla ya

wakazi 27,398 na shughuri za uchumi unaofanyika katika kata hiyo ni ufugaji na biashara

ndogo ndogo.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 05, 2026
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2026 January 19, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Fedha na Uongozi Yapangeza Utekelezaji wa Miradi

    January 20, 2026
  • Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Songea, Yatembelea na Kukagua mMiradi ya Maendeleo

    January 19, 2026
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA SHERIA ZA MANUNUZI YA UMMA KUBORESHA UTENDAJI KAZI

    January 08, 2026
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Apokea Taarifa ya Kifo cha Mhe. Jenista Mhagama- Mbunge wa Pearamiho

    December 11, 2025
  • Tazama zote

Video

RC RUVUMA, AKETI NA VIJANA MKOANI RUVUMA; ASISITIZA AMANI
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • toto
  • slot gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • toto slot
  • koi200