• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAJUMBE wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma waridhishwa na mradi wa Kituo cha Afya Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: September 5th, 2019

Mwenyekiti wa kamati ya Siasa Mkoa wa Ruvuma wilaya ya Songea amefurahishwa na juhudiza utendaji kazi ya ujenzi wa kituo cha Afya katika kata ya Ruvuma.

Akitoa taarifa Mganga Mkuu wa Halimashauri ya Manispaa ya Songea, Dkt Mamerita Basikeamesema Manispaa ya Songea ilipokea fedha kutoka Serikali ya jamhuri ya Muungano waTanzania Shilingi milioni 400,kwa ujenzi wa kituo cha Afya Ruvuma mwezi Juni 24,2018.

Kwa upande wake Basike amesema Ujenzi wa kituo cha Afya cha Ruvuma ulianza Julai 24,2018 baada ya kupata mchoro kutoka OR-TAMISEMI.

Mradi huu umekamilika kwa kazi zote ambazo ziliainishwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI,mradi umegharimu shilingi Bilioni 400,

Basike amezitaja kazi zilizofanyika katika kumilika ni Jengo la OPD, Jengo la Maternity, Jengola Theatre, Jengo la Maabara, ujenzi wa shimo la choo na shimo la kongo la nyuma na ujenzi wa

kichomea taka.

“Halmashauri imeomba vifaa na madawati kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI ili kituo cha Afyakianze kutumika kituo hiki kitahudumia wananchi wa kata ya Ruvuma,Mateka, Majengo, subira,

Mfaranyaki na Lizaboni.”amesema Basike.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mdeme ameshauri wajenge baranara zenye lamiili kuondo vumi katika eneo hilo la kituo cha Afya kuondo mazingira ya vumbi kwa wagonjwa.

Ruvuma ni miongoni mwa kata 21 zilizopo katika Manispaa ya Songea.Kata hii ina jumla yamitaa minne ambayo ni Ruvuma Juu, Ruvuma Chini Mbulani A na Mbulani B kata ina jumla ya

wakazi 27,398 na shughuri za uchumi unaofanyika katika kata hiyo ni ufugaji na biashara

ndogo ndogo.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa