• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI KUSHIRIKI MAFUNZO YA MICHEZO MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: March 10th, 2021

Ni kutolewa kwa mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa shule za Msingi na Sekondari Manispaa ya Songea yaliyotolewa kwa lengo la kufundisha wanafunzi kwa ajili ya  kuwapatia fursa wanafunzi na kuweza kuonyesha vipaji vyao.

Mafunzo hayo ya michezo yameratibiwa na ofisi ya  Mkoa wa Ruvuma kwa usimamizi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea yaliyofundishwa na wakufunzi kutoka chuo cha maendeleo ya michezo MALYA-Mwanza  kuanzia tarehe 6 hadi 9 machi 2021 katika ukumbi wa chuo cha Ualimu Matogoro Songea Mjini.

Afisa michezo Manispaa ya Songea Mohamedi Kitesi  alisema lengo mahususi  la mafunzo hayo ni kufikia lengo la Serikali na kuhakikisha linazalisha kizazi imara katika michezo.

Kitesi aliongeza kuwa kama Halmashauri imejipanga kuendeleza kutetea ubingwa wa UMISETA na UMITASHUTA.

Ambapo mafunzo hayo yametolewa kwa washiriki 208 ambao ni walimu wa shule za msingi na Sekondari na kupatia fursa ya kujifunza aina ya  michezo 7 ikiwemo na mafunzo ya ualimu wa michezo, pamoja na mafunzo ya waamuzi wa michezo kama wa mpira miguu, mpira wa pete, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, riadha, mpira wa mikono na  mpira kengere.

Washiriki wa mafunzo  wakitoa maoni yao kwa nyakati tofauti ambapo walisema  “wanaishukuru Serikali kwa kuwapatia mafunzo  na kurejesha michezo shuleni kwani inasaidaia kujenga afya ya mwili, ajira kwa vijana, na burudani  pia itawasaidia kuwashawishi wanafunzi kupenda masomo kutokana na uwepo wa michezo shuleni.”

IMERIPOTIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

10.03.2021

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Ndumbaro Aibuka Mshindi Ubunge Jimbo la Songea Mjini

    October 30, 2025
  • Rc Ruvuma Akabidhi Magari 4 Yenye Thamani ya Bil. 2.2 Kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Ruvuma

    October 26, 2025
  • Washiriki 1,542 Wapata Mafunzo ya Usmamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo.

    October 26, 2025
  • WASHIRIKI 542 WAPATA MAFUNZO YA MAKARANI WAONGOZAJI

    October 25, 2025
  • Tazama zote

Video

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA WAZIRI MKUU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200