• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIOSABABISHA upotevu wa sh.bilioni 1.7 za benki Ruvuma kukamatwa na kufilisiwa mali

Tarehe ya kuwekwa: November 13th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Ruvuma kuwakamata na  mali zao wote waliosababisha upotevu wa shilingi bilioni 1.7 za Benki ya wananchi Mbinga.

Mndeme ametoa maagizo hayo ofisini kwake mjini Songea, wakati anatoa taarifa ya Tume ya Uchunguzi wa kubaini sababu za kufilisika hatimaye kufungwa kwa Benki ya wananchi wa  Mbinga Mei 10,2017.

Mkuu wa Mkoa amesema aliunda Tume hiyo ili kutekeleza maagizo ya Rais John Magufuli ambaye aliagiza uchunguzi kufuatia kufilisika kwa Benki hiyo hali ambayo ilisababisha fedha za wananchi kupotea bila kujua zitalipwa na nani.

“Tume ya Uchunguzi ilianza kazi tarehe 15/4/2019 na baada ya kuchunguza sababu za kufiliska kwa Benki ya wananchi Mbinga,imebaini upotevu wa fedha za wananchi jumla ya shilingi 1,734,844,629.95’’,alisema Mndeme.

Amesema kiasi hicho cha upotevu wa fedha kimetokana na matumizi mabaya ya fedha za ruzuku kutoka ofisi ya Waziri Mkuu katika Programu ya MIVARF shilingi bilioni moja,wizi wa wazi kwenye akaunti za wateja shilingi milioni 62,mikopo kwa watumishi kwa ajili ya siku kuu ya Idi Chrismass shilingi 266,808,423 na mikopo ambayo haijarejeshwa baada ya kufungwa Benki ni zaidi ya milioni 400.

Kutokana na uchunguzi huo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ameagiza fedha zote zirudishwe,mali za wahusika wote zikamatwe ili fedha za wananchi zirejeshwe na kwamba wananchi wote ambao walishirikiana na wafanyakazi wa Benki kufanya udanganyifu wachukuliwe hatua.

Imeandikwa na Albano Midelo

Novemba 12,2019 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa