• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAHABARI 27 waanza mafunzo ya ubobezi katika habari za mazingira

Tarehe ya kuwekwa: August 14th, 2018

WANAHABARI 27 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wamechaguliwa kushiriki katika mafunzo ya ubobezi katika  habari za mazingira.

Mafunzo hayo ambayo yameratibiwa na Umoja wa Klabu wa wanahabari Tanzania (UTPC) yanafanyika kwa siku tano kwenye ukumbi wa Kings Way mjini Morogoro chini ya Mkufunzi Mbobezi katika masuala ya mazingira Deogratius Mfugale.

Akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo hayo Afisa program wa Kitengo cha Mafunzo na Utafiti wa UTPC Mkao Makuu jijini Mwanza Victor Maleko amesema  lengo ya kufadhili mafunzo hayo kwa wnahabari nchini,ni kuhakikisha kuwa inajengwa timu ya wanahabari wabobezi katika mazingira.

Amesema anamatumaini makubwa kuwa mara baada ya mafunzo hayo,wanahabari sasa wataandika habari ambazo zinaleta mabadiliko na matokeo chanya katika sekta ya mazingira ambayo inakabiliwa na changamoto mbalimbali.

Kwa upande wake Mkufunzi wa mafunzo hayo Deogratius Mfugale amelitaja lengo la kozi hiyo ni kuwajengea uwezo wanahabari ili kutambua kutambua uhusiano uliopo kati ya binadamu,mazingira na maendeleo.

“Wanahabari wanatakiwa kujijengea uhalali wa kuitwa waandishi wa habari kwa kufanya habari zinazoleta mabadiliko na matokeo chanya kwa kufanya uchambuzi badala ya kuendelea kuripoti matukio ambayo yanaripotiwa kwenye mitandao ya kijamii na watu ambao sio wanahabari’’,anasisitiza Mfugale.

UTPC kupitia Mpango Mkakati wake wa 2016 hadi 2020 unatekeleza moja  ya malengo yake kwa kutoa mafunzo kwa wanachama wa vyama vya wanahabari nchini.

Imeandikwa na Albano Midelo

albano.midelo@gmail.com,simu 0784765917

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa