• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI Mwengemshindo waipongeza serikali kwa mradi wa maji

Tarehe ya kuwekwa: August 30th, 2019

Uongozi wa Kata ya Mwengemshindo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma umeishukuru serikali kwa kuwapatia huduma ya maji ambayo hawajawahi kupata tangu uhuru.

Diwani wa Kata hiyo Osimund Kapinga akizungumza baada ya Kamati ya siasa ya CCM kutembelea mradi huo,amesema kwa miaka mingi akinamama walikuwa wanasafiri umbali mrefu kutafuta maji ambayo sio safi na salama ambapo hivi sasa changamoto hiyo imepatiwa ufumbuzi wa kudumu.

Kapinga amesema upatikanaji wa maji  ulikuwa ni mgumu sana na kusababisha matatizo ya kiafya kutokana na kutembea kwa umbali mrefu kufuata maji na pia kutumia maji yasiyo salama kutoka kwenye visima vilivyochimbwa kwenye mabonde na visvyo na ulinzi wowote kwa kuangalia usafi na usalama wa maji hayo.

“kwa kweli hatuna budi kusema asante kwa msaada huu wa maji.” Amesema Kapinga

Meneja wa RUWASA wa Wilaya ya Songea Mhandisi Samwel Sanya aameiambia Kamati hiyo ya siasa kuwa mradi huo uliibuliwa na wananchi wenyewe katika  mwaka wa fedha 2016/2017 na kukamilika 2018/2019 .

Kulingana na Sanya mradi huo umegharimu zaidi ya shilingi milioni 490 ambazo zimetumika katika   ujenzi wa miundombinu ya maji na ununuzi na ufungaji wa mfumo wa mionzi ya jua na kwamba fedha zote za ujenzi wa mradi zimetoka serikali kuu.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho amewaomba wanachi kuthamini na kutunza mradi huu kwa kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma muhimu pia amewaagiza wataalam kuendelea kufanya marekebisho ya mradi huo ili kuboresha huduma hiyo.

Mtaa wa Luhila Kati ni mojawapo katika Mitaa kumi ya awali ambayo imetekeleza ujenzi wa miundombinu ya maji.

Imeandaliwa na 

Bacilius Kumburu

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 29, 2019.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa