• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WAJITOKEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA KATIKA WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 59 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Tarehe ya kuwekwa: April 29th, 2023

Manispaa ya Songea imekuwa ikiendelea na  utekelezaji wa WIKI ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo na upandaji wa Miti  katika maeneo ya shule, kongamano mbalimbali za  vijana na wazee, kukagua miradi, Bonanza la  Michezo na Usafi wa Mazingira katika maeneo ya kijamii na makazi.

Katika kutekeleza shughuli hizo Manispaa ya Songea imehitimisha Maadhimisho hayo leo tarehe 29 Aprili 2023 kwa kufanya usafi wa mazingira  katika eneo la Soko la Bombambili kwa lengo la kuunga Mkono Maadhimisho ya miaka 59 ya  Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na pamoja na kuweka mji katika mazingira ya Usafi.

Akizungumza Afisa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira Beno Philipo Mpwesa amewataka Viongozi wa Serikali za Mitaa, pamoja na Viongozi wa Masoko yote wahakikishe wanasimamia  usafi wa Mazingira   na kufanya  ukaguzi wa nyumba hadi nyumba  pamoja na kutumia sheria ndogo za usafi wa mazingira ambazo hutumika  kwa yeyote atakaye vunja sheria ndogo hizo.

Beno aliongeza kuwa  usafi wa mazingira ni jukumu la kila mwananchi hivyo ametoa rai kwa jamii kushiriki kufanya usafi hususani usafi wa mwisho wa mwezi ambao hufanyika kila ifikapo mwishoni mwa mwezi husika.

Kwa upande wao wananchi wakizungumza na chanzo hiki cha Habari  wametoa maoni yao  kuwa “ Muungano uendelee kudumishwa kwasababu unaleta Mshikamano, Umoja, Upendo na Amani ambao unasaidia watu kuishi kwa kusaidia na kushirikiana katika shughuli za kijamii husasani kushiriki kufanya Usafi wa Mazinngira.” Mwisho wa kunukuu.

Imeandaliwa na;

AMINA PILLY,

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 MANISPAA YA SONGEA.





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa