• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI washauriwa kuwalinda tembo na faru

Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2019

MKUU wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Sophia Kizigo ametoa rai kwa wakazi wa Mkoa wa Ruvuma kuendelea kuwalinda tembo na faru ambao ni rasilimali muhimu kwa Taifa.

Akizungumza siku ya maadhimisho ya tembo na faru ambayo mwaka huu yamefanyika kwenye uwanja wa michezo wa Zimanimoto mjini Songea,Kizigo ambaye alikuwa mgeni rasmi amesema vita dhidi ya ujangili inatakiwa kuwa endelevu ili wanyama hao waendelee kuongezeka.

Kizigo amesema kulingana na takwimu siku za nyuma tembo na faru katika hifadhi ya Taifa ya Nyerere ambayo awali ilifahamika kama Pori la Akiba la Selous,walikuwa zaidi ya 90,000 ambapo hivi sasa wapo 15,000.

“Takwimu  zinaonesha kuwa idadi ya tembo katika hifadhi ya Taifa ua Nyerere inaongezeka,kwa namna ya pekee tunawapongeza askari wa wanyamapori kwa kazi nzuri ya kulinda rasilimali za nchi’’,alisisitiza.

Kizigo ametoa rai kwa watanzania kuachana na vitendo haramu vya ujangili badala yake wafanye kazi halali na kuacha vitendo vya kuwinda wanyamapori  ambao ni vivutio vya utalii ambavyo vinaingiza mapato na fedha za kigeni hivyo kuchangia uchumi wa Taifa.

Kwa upande wake Afisa Mkuu wa Wanyamapori Nasoro Wawa amesema Idara yake inakabiliana vilivyo na vitendo vya ujangili ambapo katika kipindi cha mwaka 2018 hawakuwa na tukio lolote la ujangili katika hafadhi ya Taifa ya Nyerere (selous) na kusisitiza kuwa hatua kali za kisheria zinachukuliwa kwa mtu yeyote amb aye atakamatwa akijihusisha na vitendo vya ujangili.

Ametoa ushauri kwa wanakijiji ambao wanaishi katika mazingira ya hifadhi kuchukua tahadhari ikiwa ni pamoja na kujenga uzio  au  kutumia njia mbadala za kuweza kuwafukuza tembo zikiwemo   kuwafukuza tembo kwa kutumia pilipili na mafuta chafu .

Imeandikwa na Farida Mussa

Kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Oktoba 2,2019

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa