• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE Songea waunda vikundi 400 vya ujasiriamali

Tarehe ya kuwekwa: March 21st, 2018
  • Kutokana na uhamasishaji wa wanawake kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali unaofanyika Songea Manispaa mkoani Ruvuma imesaidia wanawake  kuongeza  uelewa  na  kufanya shughuli za kiuchumi.
  • Katika kipindi cha mwaka 2017/2018, jumla  ya   vikundi   36 vya  wanawake  wazalishaji  mali  vimeundwa na kufanya jumla ya vikundi 400 vya wanawake vya Songea Manispaa.
  • Afisa Maendeleo ya Jamii katika Manispaa hiyo Naftari Saiyoloi amezitaja Shughuli za uzalishaji mali zinazofanywa na vikundi hivyo kuwa  ni   usindikaji, kilimo, magenge, ufumaji,  ufugaji  na  hifadhi  ya  mazingira.
  • Kwa mujibu wa Saiyoloi Katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Desemba 2017 jumla ya vikundi 51 vya wanawake vimepatiwa mikopo  midogo  midogo  yenye  masharti  nafuu yenye thamani ya shilingi zaidi ya milioni  71 ambapo kila kikundi kimepatiwa kiasi cha fedha kati  shilingi milioni moja hadi tatu.
  • Afisa Maendeleo huyo amezitaja fursa mbalimbali za kiuchumi na  namna ya kutumia Rasirimali  zilizopo  katika  kujiletea  maendeleo,  zikiwemo  mfuko  wa   Maendeleo  ya  Wanawake WDF, SACCOS, BANK, NA SIDO ambapo katika  Halmashauri  ya  Manispaa  ya  Songea  kuna  jumla  ya  taasisi  za  kifedha  25.
  • “vikundi vya wajasiriamali 51 Manispaa ya Songea  vimepatiwa mafunzo mbalimbali ya kujengewa uwezo juu ya ujasiriamali  kwa  elimu  waliyopewa  ya  usimamizi  na  uendeshaji  wa  miradi  ya uzalishaji  mali,   utafiti  wa  masoko na elimu ya jinsia kupitia Idara ya maendeleo ya jamii  kwa kipindi cha Julai  hadi Desemba mwaka2018’’,amesema Saiyoloi.       
  • Kwa upande wakeJoyce Mwanja ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii katika Manispaa hiyo anabainisha Ongezeko la uelewa kutokana na elimu kupitia midaharo  ya wanawake na mafunzo mbalimbali yanayotolewa  juu  ya kutumia  mahusiano  ya  kijinsia  kwa  maendeleo  ya  wanawake na wanaume.
  • Mwanja anabainisha zaidi kuwa kumekuwa na ongezeko  la   wanawake  wanaoshirikishwa  katika  maamuzi,kupewa haki na kujengea  uwezo wa kutambua maswala ya kisheria yanayosaidia kuondokana na mfumo dume na mifumo kandamizi.
  • Hata hivyo amesema wanawake walio wengi  hivi sasa wameelewa haki zao na hatua za kuchukua dhidi ya uhalifu wa aina yoyote kupitia mdaharo na kwamba kumetokomezwa tabia  ya  kufanya  tamaduni  za  unyago  kwa  watoto  wa  kike katika umri mdogo na kupungua kwa mimba za utotoni.
  • Taarifa imetolewa na Albano Midelo
  • Afisa Habari Manispaa ya Songea
  •  

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa