• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATALII 50 toka nchi 16 duniani watembelea Hifadhi ya Mwambesi

Tarehe ya kuwekwa: September 30th, 2019

WATALII 50 toka nchi 16 duniani wameamua kufanya mkutano wao mwaka wa kimataifa katika Hifadhi ya Taifa ya mazingira asilia ya Mwambesi iliyopo wilayani Tunduru mkoani Ruvuma.

Hii ni mara ya pili ndani ya kipindi cha miezi miwili mkoa wa Ruvuma kupata makundi makubwa ya watalii kutoka nchi za Ulaya,Asia,Amerika na barani Afrika hivyo kufanya jumla ya watalii 77 kutembelea Hifadhi hiyo ambayo imepandishwa hadhi kuwa ya kitaifa.

MSITU wa Hifadhi wa Taifa wa mazingira asilia Mwambesi  ulianzishwa mwaka 1956 na ulipandishwa hadhi kuwa msitu wa Taifa katika kipindi cha mwaka 2017/2018. hadhi ili kuongeza uhifadhi zaidi kutokana na kuwa na utajiri wa viumbe vya kipekee duniani wakiwemo wanyama,ndege na mimea.

Maximilian Jenes  Meneja Miradi ya Palms Foundation anasema Mkoa wa Ruvuma umepokea watalii 50 toka nchi 16 duniani ambao wamefika kama watalii na pia kuendesha mkutano wa kimataifa ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mwambesi.

“Mkutano huu wa kimataifa unahusiana na wadau viongozi wanaoongoza masuala ya uhifadhi duniani kutoka mataifa mbalimbali ,pia watajadili na kuonesha fursa mbalimbali zinazotokana na uhifadhi’’,anasisitiza Jenes.

Anasema mkutano huo unalenga kuonesha Dunia fursa mbalimbali zinazotokana na uhifadhi na kwamba wananchi,wanajamii wanaozunguka hifadhi ya Mwambesi na Taifa kwa ujumla wataweza kunufaika kupitia ziara ya watalii hawa wa kimataifa.

Hata hivyo Jenes anasema mikutano ya namna hii imefanyika katika nchi mbalimbali za Afrika na kwamba kwa Tanzania hii ni mara ya pili kufanyika mkutano wa kimataifa kama huu,ambapo kwa mara ya kwanza ulifanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa