• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATATU wakamatwa na meno ya tembo Songea

Tarehe ya kuwekwa: May 28th, 2018

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limewakamata watu watatu katika soko la vyakula la Lizaboni Manispaa ya Songea wakiwa na vipande 23 vya meno ya tembo.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma SACP Gemini Mushy amesema watu hao walikamatwa Mei 25 mwaka huu ambapo majina ya watuhumiwa hao yamehifadhiwa kwa sababu za kiupelelezi.

Hata hivyo Kamanda Mushy amesema  vipande hivyo vya meno ya tembo vina uzito wa kilogram 60 vikiwa na thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 175.

Katika tukio jingine Kamanda Mushy amesema mtu mmoja ambaye amefahamika kwa jina la Emanuel Romwad(39) amefariki dunia kutokana na ajali ya gari iliyotokea Mei 25, katika kijiji cha Mtakuja  wilayani Namtumbo.

Amelitaja gari ambalo limesababisha ajali hiyo kuwa ni lenye namba za usajiri  T377 CLE aina ya Mitushubishi Rosa mali ya Omary Kangaulaya wa Songea ambalo liliacha njia na kugonga kingo za barabara kisha kusababisha ajali hiyo katika mtelemko wa mto Likonde.

Amesema ajali hiyo imesababisha majeruhi wawili ambao amewataja kuwa ni Hamis Sinkala(32) mkazi wa Mtaa wa Ruvuma Manispaa ya Songea na Tabu Ramadhani(30) mkazi wa Ligera wilayani Natumbo.

Hata hivyo Kamanda Mushy amekitaja chanzo cha ajali hiyo kuwa ni uzembe wa dereva kushindwa kulidhibiti gari kwenye mtelemko na kwamba dereva alikimbia mara baada ya ajali,na Jeshi la polisi linaendelea kumtafuta.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Mei 27,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa